Ndugu zako na wanaokuzunguka je? nao wanakuona fresh ama mbili mbele?Write your reply...NINA MWAKA WA KUMI HAPA BADO NATUMIA MMEA NA NIKO FRESH
Waki legalize mapusha si watakufa njaa ....maana sasa hivi thamani ya bangi ipo sababu ni illegal ikiwa legal mtu anajipandia hata home .....biashara hakuna tena na ule mmea haunaga shida sana ya kutaka huduma watu watazipanda sanaLawmakers na watusikie
Waki legalize mapusha si watakufa njaa ....maana sasa hivi thamani ya bangi ipo sababu ni illegal ikiwa legal mtu anajipandia hata home .....biashara hakuna tena na ule mmea haunaga shida sana ya kutaka huduma watu watazipanda sana
Ndio watapiga hela zaidi maana stock watakayo kuwa nayo haitakuwa ya kitoto.Waki legalize mapusha si watakufa njaa ....maana sasa hivi thamani ya bangi ipo sababu ni illegal ikiwa legal mtu anajipandia hata home .....biashara hakuna tena na ule mmea haunaga shida sana ya kutaka huduma watu watazipanda sana
Ni gharama mkuu bange inahitaji mwanga na maji ukipanda ndani kwako itabidi upageuze pawe greenhouse ndogo.Hiv bangi huwez kupanda mvunguni , geto kwako?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kaokoka huyu![]()
See, hata wakina pablo walianza ivo ivo mzee 😅Labda.
At the age of 17 nilikuwa nimeshashika hadi 4 million kwa mkupuo nilizozitafuta mwenyewe kwa jitihada zangu.
Anguko lake baya sana