Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,191
- 39,956
Kuna umri unafikia tu,unaona kawaida...kwa mwanamke aliyezaa au kutoa mimba kadhaa hawezi kuona haibuBasi uwe unajiuza tu mkuu hata hadharani
Kuna umri unafikia tu,unaona kawaida...kwa mwanamke aliyezaa au kutoa mimba kadhaa hawezi kuona haibuBasi uwe unajiuza tu mkuu hata hadharani
Ni kwasababu kaufuja mwili wake,wapo waliozaa na wanaithamini miili yaoKuna umri unafikia tu,unaona kawaida...kwa mwanamke aliyezaa au kutoa mimba kadhaa hawezi kuona haibu
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.
Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.
Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
Pia kama mlikuwa kwenye uhusiano ni kitu cha kawaida tu,kwa sababu ili viungo vyenu vikutane lazima muwe kama mlivyozaliwaNi kwasababu kaufuja mwili wake,wapo waliozaa na wanaithamini miili yao
MtuPesa....Mimi sikupewa pesa ila nilitoa pesa,mwanamke amedhalilika kwasababu aliuza utu wake kwasababu ya pesa,una swali lingine?
Pole sana kwa kuchunwa kijijini,Halafu bahati mbaya sana sijachunwa mjini,mjini tunanunua tu kuanzia elfu 5 mpaka 10,000.
Milioni moja inanunua malaya zaidi ya mia
Tena nilitoa cash M moja,hizi 50,000 hata hazina idadi alikula nyingi sana,kuna watu wamezaliwa na nyota zao sio nyota zenu hizo mnazopewa na wanaojiita waganga wa jadi,kumpata wa kumchuna laki tu shida.Pole sana kwa kuchunwa kijijini,
Kama nakuona ulivyogeuzwa ATM in hope atakua mke wa kutulia nae ndani baadae anakitangaza Kibamia chako mitaani tena anaongezea hakina afya,
Hahahaha ama kweli una nyota ya bundi, ukaliwa pesa zote hizo na ukaambulia kupiga mara moja tu,Tena nilitoa cash M moja,hizi 50,000 hata hazina idadi alikula nyingi sana,kuna watu wamezaliwa na nyota zao sio nyota zenu hizo mnazopewa na wanaojiita waganga wa jadi,kumpata wa kumchuna laki tu shida.
Unaanzaje kumkashifu mwanaume ambaye tayari kaona utupu wako, hoooo wewe fala umenihonga zaidi ya milioni halafu mimi nimekupa mara moja tu, kabao kenyewe kamoja tu ka kichovu, je hiyo pesa ina thamani kuliko mwili wako?
Je, angekugonga mabao mia pesa yake ingerudi? Kama ulitoa nanii baada ya kupewa pesa je unanunuliwa?
Hata uhongwe milioni mia mwili wako unathamani kuliko chochote, ukiufunua tu kuwa mpole mheshimu sana uliyemfunulia vinginevyo unakuwa unajidhalilisha tu.
Daaahh 😀😀😀😀😀
Mridhishe unayempenda tu sio woteHuwa sihangaiki kumridhisha mwanamke,mungu kamuumba vizuri tu lakini bado mikope ya bandia yaani kila kitu fake,hata mshindo nao fake, naitwa dali kimoko yaani mimi ni kimoja tu nasepa.
Kinakuwa kibamia kwa mwenye bwawa, kwa mwenye mnato tango,unaziona nyingi sana hujawahi kuchuna kiasi hicho kwasababu huna hadhi,wenye hadhi zao hizo ni pesa ndogo sana watu wanajengewa magorofa sembuse milioni moja,halafu jiulize huyo anayehonga milioni moja mfukoni anakuwa nazo ngapiHahahaha ama kweli una nyota ya bundi, ukaliwa pesa zote hizo na ukaambulia kupiga mara moja tu,
Ila sishangai wenye vibamia hua mnajitahidi sana kuhonga ili mstiriwe aibu zenu.
Nayahisi maumivu yako hadi ukaja kufungua uzi JF,.
Acha kujimwambafai umeona aibu wanaume wenzio wamekuzodoa hapa,Kinakuwa kibamia kwa mwenye bwawa, kwa mwenye mnato tango,unaziona nyingi sana hujawahi kuchuna kiasi hicho kwasababu huna hadhi,wenye hadhi zao hizo ni pesa ndogo sana watu wanajengewa magorofa sembuse milioni moja,halafu jiulize huyo anayehonga milioni moja mfukoni anakuwa nazo ngapi
Ngoja tu nikubali kushindwa na kibamia changu,milioni moja imekuuma utafikiri kachunwa mumeo.Acha kujimwambafai umeona aibu wanaume wenzio wamekuzodoa hapa,
Ungekua na hela ungekuja kuanzisha uzi wa kuchunwa JF???
Unadhani ukiniattack mimi ndo itabadilisha uhalisia kua umeliwa kihela chako cha ngama na bado umeambulia kimoja na siri yako ya kibamia ipo mtaani,
Hurumaaaaaaa
Huu ni ukweli ambao ni mchunguHayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.
Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.
Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.