Utungaji wa mimba

Utungaji wa mimba

mimi ni braza tu..... maamuzi ya kutoa ni yao.... ila ndio bado vitoto hata chuo hawajamaliza..... 25 kwa 23..... hopefully ntalea ...ndio kaka mkubwa...... na anaishi kwangu

Ama kweli vidole katu haviwezi kulingana, hiyo mimba kama anayo si angeihamishia kwangu!!
 
asubr wk tatu then apme!! bla shaka huyo kanasa.... UPT hua hazionesh 0ne wiki......
 
Ama kweli vidole katu haviwezi kulingana, hiyo mimba kama anayo si angeihamishia kwangu!!

tangu uchumba mpaka ndoa....tumetafuta mpaka tukaenda kwa dokta.... mbegu zipo....mayai kwa wife hayana tatizo....huu mwaka wa 4 ndio IMEPATIKANA..... MUNGU NI WA WOTE....JITAHIDINI MTAPATA TU NDUGU.....NB; sio hii ya dogo namaanisha yangu....
 
tangu uchumba mpaka ndoa....tumetafuta mpaka tukaenda kwa dokta.... mbegu zipo....mayai kwa wife hayana tatizo....huu mwaka wa 4 ndio IMEPATIKANA..... MUNGU NI WA WOTE....JITAHIDINI MTAPATA TU NDUGU.....NB; sio hii ya dogo namaanisha yangu....[/QUOTE
Hakika Mungu ni muweza, atatenda siku moja
 
Kimoooooo.......yelewiiiiii..... Nyavuni aseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom