PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,431
Ok naomba kuuliza, hivi vile vidonge vya uzazi wa mpango vinafanya kazi baada ya muda gani?
Naomba msinielewe vibaya, nimetembea na binti mtoto wa kiongozi wa serekalini tena chama cha upinzani. Sasa nilimsihi akanunue vidonge, yeye alienda kununua vile vidonge vipo 21 alafu vingine saba vipo tofauti, na alianza kutumia siku moja kabla hatujafanya ule uchafu na mpaka leo anatumia (ngono tulifanya ijumaa iliyopita)
Sasa mwezi uliopita aliingia period tarehe 18. Na mwezi huu leo tarehe 20 hajaona siku zake, pia amebadilisha mkoa.
Wakuu nimechanganyikiwa naomba kama kuna doctor nisaidieni kumtag nijue kama kuna uwezekano wa kuto kupata mimba
Nipo tayari kujibu swali lolote, hii nchi naiona chungu
Naomba msinielewe vibaya, nimetembea na binti mtoto wa kiongozi wa serekalini tena chama cha upinzani. Sasa nilimsihi akanunue vidonge, yeye alienda kununua vile vidonge vipo 21 alafu vingine saba vipo tofauti, na alianza kutumia siku moja kabla hatujafanya ule uchafu na mpaka leo anatumia (ngono tulifanya ijumaa iliyopita)
Sasa mwezi uliopita aliingia period tarehe 18. Na mwezi huu leo tarehe 20 hajaona siku zake, pia amebadilisha mkoa.
Wakuu nimechanganyikiwa naomba kama kuna doctor nisaidieni kumtag nijue kama kuna uwezekano wa kuto kupata mimba
Nipo tayari kujibu swali lolote, hii nchi naiona chungu