Utumwa bado upo au umeisha?

Utumwa bado upo au umeisha?

idiomer

Senior Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
191
Reaction score
228
Visa vya nchi za Ulaya ngumu kupata

Wawekezaji ndio wale wakoloni

Wamisionari ndio hawa wanasema tujifunze lugha zao kama kiarabu, kichina na kirusi

Manamba ndio sisi tunafanya kazi viwanda vyao
Wapelelezi ndio hawa mabalozi sasa

Viongozi wetu ndio kupewa shahada za heshima
 
Back
Top Bottom