- Thread starter
- #21
Sawa lakini serikali ni ile ile ya chama tawalaPunguzeni madai kwa mama, aliyesababisha haya hayupo sasa hivi!
Sawa lakini serikali ni ile ile ya chama tawalaPunguzeni madai kwa mama, aliyesababisha haya hayupo sasa hivi!
Wilaya ya Chamwino wameshadaka kitambo.Hata mm sijaiona hiyo barua ingawa nipo kwenye orodha
Nitaiweka hapa hapa kwenye uziNa Mimi mkuu naomba unitumie
Saa ngapi??Nitaiweka hapa hapa kwenye uzi
HAKUNA CHA DARAJA, HAKUNA HR ANAWEZA KUPANDISHA DARAJA SABABU MFUMO WA LAWSON UMEKUFA. MTASUBIRI SANADaraja linaanza 1/6/2021.
Ila kubadilika salary inategemea na usharp wa HR wenu
Unapenda kuishi kimazeaHAKUNA CHA DARAJA, HAKUNA HR ANAWEZA KUPANDISHA DARAJA SABABU MFUMO WA LAWSON UMEKUFA. MTASUBIRI SANA
Kuna wa 2017 waliopandishwa?Mnachokifanya sasa sio sawa kuwaweka ajira 2014, 2015, 2016, 2017 kwenye daraja moja bila kuangalia umri kazini. Mnachokifanya sasa ni kusahau miaka watumishi waliopotezewa kwenye masuala ya uhakiki na vyeti feki. Pia kuna ajira 2012 na 2013 walikaa miaka 6 bila kupanda kwa sababu za kilichoitwa uhakiki.
NINI KIFANYIKE?
Ili kusawazisha hili, inatakiwa muhesabu miaka ya mtumishi tangu aajiriwe na daraja ambalo angetakiwa awepo kisha mumuweke hapo.
Mfano: Ajira 2012, 2013 wenye degree sasa wanatakiwa wawe TGS F etc.
Ila hiki mnachokifanya sasa ni sawa na kufunika kombe ili mradi mambo yaende. Je hawa waliopoteza miaka 2, 3, 4 kupisha uhakiki wanafidiwa vipi?
Cc: Waziri - Utumishi
Cc: Katibu Mkuu Kiongozi
Cc: Rais JMT
Mwezi wa tano kushuka chini kwa 2017 wanapandaKuna wa 2017 waliopandishwa?
Iyo nzuri. ..so next yr hata walioajiriwa 2017 baada ya July watahusikaMwezi wa tano kushuka chini kwa 2017 wanapanda
Barua ni karatasi, muulize afisa utumishi kama ameingiza kwenye mfumo ili upate mshahara mpya.. hakuna kitu, utasubiri sanaAngalia barua nimekuwekea
Ila wewe ni bongolala kabisa, unaweka mtandaoni barua yako ya conf na ukaacha kumb.Na hadharani? Mwajiri wako akuchukulie hatua kali sana.. na kwa hiyo Kumbukumbu Namba huchomoki
Kupanda cheo nayo ni siri?Ila wewe ni bongolala kabisa, unaweka mtandaoni barua yako ya conf na ukaacha kumb.Na hadharani? Mwajiri wako akuchukulie hatua kali sana.. na kwa hiyo Kumbukumbu Namba huchomoki
Ulishawahi kuona barua zao mtandaoniKupanda cheo nayo ni siri?
Jwtz wanapewa vyeo uwanjani kabisa Ikulu au Monduli chuoni tena kwa sherehe kubwa na makamera kibao.
Ngoja nikutumie
inbox
Acha hizo wilaya gani?Barua zimetoka watapanda mwezi wa 6
Kwa hiyo ulitakajeMwanangu daraja haliruki hatua. Ni kama kikombe cha mbeghe bwashee!