tutsi gal
Member
- May 24, 2014
- 33
- 10
Kwanza namshukuru baba mungu mpendwa kwa fadhiri zake anazonipa...Nilifanya interview Utumishi kwa mala ya kwanza tarehe 10/06 pale mwalimu nyerere . Baada ya hapo nikaitwa kwa usaili wa mazungumzo. Hatimae Leo nimeitwa kazini. Napenda kuwatia moyo wote ambao bado hamjapata ajira kuwa msikate tamaa. Pia msiamin maneno ya kusikia kwa watu kuwa Utumishi hauwez kupata kazi mpake ujuane na mtu. Mm nilikuwa simjui mtu yeyote yule. Napenda kuwaachia ujumbe huu never give up wandugu!!!!