Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Habari zenu wakuu ,
arusha as my reference point
kwanza nianze kwa kupongeza harakati nazo ziona ndani ya mkoa huu wa arusha kwa kuonekana jinsi walivyo na muitiko chanya kwenye madiliko hasa kwenye harakati za kuiondoa hii serikali ambayo tayari imeshaprove failure siku nyingi sana
mimi nina jambo moja baada ya kukaa hapa kwa kipindi kifupi hapa arusha hii kwangu ni kero kwa kweli na nifahamuvyo ulaji wa mirungi aka qaat, khat, ghat, gati, miraa, gomba, mbaga, veve, mti, kijiti, majani, maua hadharani ni kosa kisheria sasa nistajabika kuona vijana wengi wanakula sana hii kitu tena hadharani
ingawa wanapiga sana ile kitu ya arusha lakini naona ili wamekuwastaarabu sana pamoja na viroba na ugoro
maswali ambayo najiuliza sana ni
je huu ulaji wa mirungi unachangiwa na vijana kukata tamaa na maisha kutokana ubovu wa hii serikali?
Mmonyoko wa maadili?
Mobb ?
Unaweza kukuta mtu katuna mdomo kama mbuzi kwenye daladala hivi kweli hii ni halali ni sawa hiz ni starehe lakini kuna haja yakushabikia issue kama hizi
nawasilisha
arusha as my reference point
kwanza nianze kwa kupongeza harakati nazo ziona ndani ya mkoa huu wa arusha kwa kuonekana jinsi walivyo na muitiko chanya kwenye madiliko hasa kwenye harakati za kuiondoa hii serikali ambayo tayari imeshaprove failure siku nyingi sana
mimi nina jambo moja baada ya kukaa hapa kwa kipindi kifupi hapa arusha hii kwangu ni kero kwa kweli na nifahamuvyo ulaji wa mirungi aka qaat, khat, ghat, gati, miraa, gomba, mbaga, veve, mti, kijiti, majani, maua hadharani ni kosa kisheria sasa nistajabika kuona vijana wengi wanakula sana hii kitu tena hadharani
ingawa wanapiga sana ile kitu ya arusha lakini naona ili wamekuwastaarabu sana pamoja na viroba na ugoro
maswali ambayo najiuliza sana ni
je huu ulaji wa mirungi unachangiwa na vijana kukata tamaa na maisha kutokana ubovu wa hii serikali?
Mmonyoko wa maadili?
Mobb ?
Unaweza kukuta mtu katuna mdomo kama mbuzi kwenye daladala hivi kweli hii ni halali ni sawa hiz ni starehe lakini kuna haja yakushabikia issue kama hizi
nawasilisha