Utumiaji wa mirungi hadharani ni halali?

Maganga Mkweli

JF-Expert Member
Jul 14, 2009
2,089
829
Habari zenu wakuu ,
arusha as my reference point
kwanza nianze kwa kupongeza harakati nazo ziona ndani ya mkoa huu wa arusha kwa kuonekana jinsi walivyo na muitiko chanya kwenye madiliko hasa kwenye harakati za kuiondoa hii serikali ambayo tayari imeshaprove failure siku nyingi sana
mimi nina jambo moja baada ya kukaa hapa kwa kipindi kifupi hapa arusha hii kwangu ni kero kwa kweli na nifahamuvyo ulaji wa mirungi aka qaat, khat, ghat, gati, miraa, gomba, mbaga, veve, mti, kijiti, majani, maua …hadharani ni kosa kisheria sasa nistajabika kuona vijana wengi wanakula sana hii kitu tena hadharani
ingawa wanapiga sana ile kitu ya arusha lakini naona ili wamekuwastaarabu sana pamoja na viroba na ugoro
maswali ambayo najiuliza sana ni
je huu ulaji wa mirungi unachangiwa na vijana kukata tamaa na maisha kutokana ubovu wa hii serikali?
Mmonyoko wa maadili?
Mobb ?
Unaweza kukuta mtu katuna mdomo kama mbuzi kwenye daladala hivi kweli hii ni halali ni sawa hiz ni starehe lakini kuna haja yakushabikia issue kama hizi
nawasilisha
 
Mirunge haipo kwenye listi ya madawa ya kulevya ingawa haijaruhusiwa kufanywa biashara kisheria. Lakini haya mambo ya madawa nadhani yangehalalishwa tu ili kupunguza ukali wake. Ureno wamefanya hivyo na mafanikio yameanza kuonekana. Huku kwetu, kwa mfano, kitu cha mmea kinatumika kama mboga na watu wana akili sana.
 
Mirunge haipo kwenye listi ya madawa ya kulevya ingawa haijaruhusiwa kufanywa biashara kisheria. Lakini haya mambo ya madawa nadhani yangehalalishwa tu ili kupunguza ukali wake. Ureno wamefanya hivyo na mafanikio yameanza kuonekana. Huku kwetu, kwa mfano, kitu cha mmea kinatumika kama mboga na watu wana akili sana.

nakuelewa mkuu lakini Mirungi inakusanya ndani yake alkaloid iitwayo cathinone, amphetamine kama kichangamsho (stimulant) ambayo inasemekana husababisha msisimko, uchangamfu, kuwa na aina ya furaha ya kuwazika –kuhandasika- na huondosha hamu ya kula na kusababisha ukosefu wa usingizi.Mnamo mwaka 1980 WHO (Shirika la Afya Duniani) liliiweka Mirungi katika fungu la madawa ya kulevya ambayo inasababisha nafsi kutawaliwa nayo au kuwa na uraibu (addiction) kwa daraja ya kati hadi ile yenye nguvu.
ni kweli inaweza huu ulaji unaleta tija kwa taifa, kama wasemavyo wenyewe walaji Mirungi wanaamini kuwa majani hayo huwapatia nguvu, na uchangamfu na mliwazo wa furaha ‘Handasi au Nakhwa' kwa lugha yao. "Hakuna Mirungi, hakuna nguvu, na hivyo hakuna kufanya kazi, jimaa, kusoma, au chochote," hivyo ndivyo wanavyodai.
 
Habari zenu wakuu ,
arusha as my reference point
kwanza nianze kwa kupongeza harakati nazo ziona ndani ya mkoa huu wa arusha kwa kuonekana jinsi walivyo na muitiko chanya kwenye madiliko hasa kwenye harakati za kuiondoa hii serikali ambayo tayari imeshaprove failure siku nyingi sana
mimi nina jambo moja baada ya kukaa hapa kwa kipindi kifupi hapa arusha hii kwangu ni kero kwa kweli na nifahamuvyo ulaji wa mirungi aka qaat, khat, ghat, gati, miraa, gomba, mbaga, veve, mti, kijiti, majani, maua …hadharani ni kosa kisheria sasa nistajabika kuona vijana wengi wanakula sana hii kitu tena hadharani
ingawa wanapiga sana ile kitu ya arusha lakini naona ili wamekuwastaarabu sana pamoja na viroba na ugoro
maswali ambayo najiuliza sana ni
je huu ulaji wa mirungi unachangiwa na vijana kukata tamaa na maisha kutokana ubovu wa hii serikali?
Mmonyoko wa maadili?
Mobb ?
Unaweza kukuta mtu katuna mdomo kama mbuzi kwenye daladala hivi kweli hii ni halali ni sawa hiz ni starehe lakini kuna haja yakushabikia issue kama hizi
nawasilisha

Ukikaa karibu na mla veve na akikukera sogea pembeni kidogo ili usikereke.
 
Ukikaa karibu na mla veve na akikukera sogea pembeni kidogo ili usikereke.
lina tija kwa taifa lenye kutaka mabadiliko au ndio mpaka katiba mpyana hili .
sas mpaka watoto wasekondari wanapiga hii kitu hebu tuitazame wakuu kwa kinaa wanapata wapi hawa pesa za kununua hii mirungi jamani?
 
Mirunge haipo kwenye listi ya madawa ya kulevya ingawa haijaruhusiwa kufanywa biashara kisheria. Lakini haya mambo ya madawa nadhani yangehalalishwa tu ili kupunguza ukali wake. Ureno wamefanya hivyo na mafanikio yameanza kuonekana. Huku kwetu, kwa mfano, kitu cha mmea kinatumika kama mboga na watu wana akili sana.
Mwita, kwa sheria za Tanzania mirungi hairuhisiwi, inahesabika kama dawa za kulevya
 
Mwita, kwa sheria za Tanzania mirungi hairuhisiwi, inahesabika kama dawa za kulevya
mkuu makamanda wangu wa arachuga nawakubali sana wanamsimamo sana machalii wa hapa iakini kwa hili kwa kweli si wasupport kabisaaaaaa
 
lina tija kwa taifa lenye kutaka mabadiliko au ndio mpaka katiba mpyana hili .
sas mpaka watoto wasekondari wanapiga hii kitu hebu tuitazame wakuu kwa kinaa wanapata wapi hawa pesa za kununua hii mirungi jamani?
Gharama za cocain na heroin ni kubwa kuliko za mirungi, kwanini tusishuhulikie kwanza swala la heroin na cocain ambazo zinaingia TZ kutoka mataifa ya mbali sana na hili la mirungi litafuata baadaye coz inapatikana nchi jirani ya Kenya ambapo imehalalishwa? Kama serikali imeshindwa kudhibiti matumizi ya ngada/unga/vialili inayoingia TZ tena kwa ndege je itaweza kudhibiti mirungi inayoingia TZ kutokea kenya tena kwa njia ya magari??
 
lina tija kwa taifa lenye kutaka mabadiliko au ndio mpaka katiba mpyana hili .
sas mpaka watoto wasekondari wanapiga hii kitu hebu tuitazame wakuu kwa kinaa wanapata wapi hawa pesa za kununua hii mirungi jamani?

We kinachokutouch nini haswa? Je? Kt ya pombe na mirungi we ungependelea kp? Ingali cjawahi ku2mia lakini nina mpango wa kuachana na lager nituwe humo maana nimepata tetesi ya kwamba ni kheri gomba kuliko pombe. Ila nasikia ni ghali sana kwn inauzwa kwa KG mpk Tsh.30,000 na hii ntaangalia tena.
 
Huwezi sema sababu ya kula mirungi ni kukata tamaa mheshimiwa. Mirungi inauzwa ghali sana, unahangaika sana kuweza kununua hiyo mirungi, big G na coca cola. Na nyumbani ushaweka hela ya familia.
Hii inakuza ajira na kuongeza kuchakarika.
 
Gharama za cocain na heroin ni kubwa kuliko za mirungi, kwanini tusishuhulikie kwanza swala la heroin na cocain ambazo zinaingia TZ kutoka mataifa ya mbali sana na hili la mirungi litafuata baadaye coz inapatikana nchi jirani ya Kenya ambapo imehalalishwa? Kama serikali imeshindwa kudhibiti matumizi ya ngada/unga/vialili inayoingia TZ tena kwa ndege je itaweza kudhibiti mirungi inayoingia TZ kutokea kenya tena kwa njia ya magari??
nakuelewa mkuu lakini sio kuendelea kutetea watu kula mirungi kisa serikali imeshindwa kudhibiti madawa mengine ni jukumu langu pamoja na wewe kama unaona mirungi ni kitu kibaya kwa jamii kuelimisha wapunguze ikiwezekana waache kabisa
 
nakuelewa mkuu lakini sio kuendelea kutetea watu kula mirungi kisa serikali imeshindwa kudhibiti madawa mengine ni jukumu langu pamoja na wewe kama unaona mirungi ni kitu kibaya kwa jamii kuelimisha wapunguze ikiwezekana waache kabisa
Tofauti kubwa ya kiuchumi kati ya tajiri na maskini inawasukuma wananchi maskini kutafuta namna ya kujiliwaza na kustarehe kwa vilevi vya bei chee, ili kutatua tatizo hili ni lazima uchumi wetu kuzingatiwa kwa umakini, iyo nguvu ya kupigia mbuzi gitaa kuelimisha wananchi waache mirungi ni bora tuitumie kuhamasisha serikali ifate mapendekezo ya kiuchumi yaliyotolewa na World Bank dhidi ya kuporomoka kwa uchumi wa tanzania.
 
We kinachokutouch nini haswa? Je? Kt ya pombe na mirungi we ungependelea kp? Ingali cjawahi ku2mia lakini nina mpango wa kuachana na lager nituwe humo maana nimepata tetesi ya kwamba ni kheri gomba kuliko pombe. Ila nasikia ni ghali sana kwn inauzwa kwa KG mpk Tsh.30,000 na hii ntaangalia tena.
kweli tunafoutiana kimtazamo .mimi binafsi situmii kilevi chochote kwangu havina tija,ila inasikitisha sana kwa great thinker kama kuendelea kutetea hii kitu wewe mwenyewe unasema unasikia kilo ni mpaka 30,000/= sasa kwa logic ndogo tu uwezo wakupata hizi unatoka wapi jamani mbona tunapenda kutetea maovu penye ukweli tuseme tu hata kama unatumia kuwa muweazi ulezee na impactt zake
 
Huwezi sema sababu ya kula mirungi ni kukata tamaa mheshimiwa. Mirungi inauzwa ghali sana, unahangaika sana kuweza kununua hiyo mirungi, big G na coca cola. Na nyumbani ushaweka hela ya familia.
Hii inakuza ajira na kuongeza kuchakarika.
ajira za namna gani hizo mkuu tujuzane?
hivi ni sifa kula mirungi ?
nafahamu hii maada imewatouch wengi ila wekeni ushabkiki kando tutendeni kwenye fact mirungi naYO ni MADAWA YA KULEVYA WAKUU .
nasupport movement nyingi sana ila kwa hili hapana ni mtazamo tu namsetegemee kunibadilisha kwa hichi nacho amini
 
Tofauti kubwa ya kiuchumi kati ya tajiri na maskini inawasukuma wananchi maskini kutafuta namna ya kujiliwaza na kustarehe kwa vilevi vya bei chee, ili kutatua tatizo hili ni lazima uchumi wetu kuzingatiwa kwa umakini, iyo nguvu ya kupigia mbuzi gitaa kuelimisha wananchi waache mirungi ni bora tuitumie kuhamasisha serikali ifate mapendekezo ya kiuchumi yaliyotolewa na World Bank dhidi ya kuporomoka kwa uchumi wa tanzania.
mkuu mirungi ni gharama , na mimi concern yangu kubwa ni kwa vijana hasa hawa wadogo tena wa sekondari wanapata wapi hela ya kununua mirungi jamani ?
serikali ya ccm imeshindwa kazi hilo sikati lakini je ulaji wa mirungi nao tuutete kweli?
 
ajira za namna gani hizo mkuu tujuzane?
hivi ni sifa kula mirungi ?
nafahamu hii maada imewatouch wengi ila wekeni ushabkiki kando tutendeni kwenye fact mirungi naYO ni MADAWA YA KULEVYA WAKUU .
nasupport movement nyingi sana ila kwa hili hapana ni mtazamo tu namsetegemee kunibadilisha kwa hichi nacho amini
Maskini aliyekata tamaa anakula chochote anachoona kinamfaa bila kuogopa coz hana chakupoteza.
 
mkuu mirungi ni gharama , na mimi concern yangu kubwa ni kwa vijana hasa hawa wadogo tena wa sekondari wanapata wapi hela ya kununua mirungi jamani ?
serikali ya ccm imeshindwa kazi hilo sikati lakini je ulaji wa mirungi nao tuutete kweli?
Hivi hujui kuwa mirungi inauzwa kuanzia elfu nne?? Sitetei ulaji wa mirungi ila nataka ujue kuwa mirungi ni ulevi mkubwa wenye gharama ndogo that y hao watoto wanakimbilia.
 
Hivi hujui kuwa mirungi inauzwa kuanzia elfu nne?? Sitetei ulaji wa mirungi ila nataka ujue kuwa mirungi ni ulevi mkubwa wenye gharama ndogo that y hao watoto wanakimbilia.

elfu 4 ni gharama ndogo kwa mwanafunzi na mwananchi wa kipato cha chini?
 
Back
Top Bottom