Utumiaji wa GNLD na Forever Living products ni hatari?

Mimi nilikuwa mteja mkubwa wa hizi dawa(product). Nilikuwa nanunua product za aina nyingi. Nilikuwa nawapa watoto wangu dawa ya mswaki ambayo nayo ilikuwa inasifiwa inafaa kwa watoto.

Baada ya muda nikaona watoto wa wafanyakazi wangu wametoboka meno kwa sababu ya hii dawa kwani wenyewe wanasema aina floride kabisa.

Mara nikaona na meno ya watoto wangu yameanza kugina na jino moja limeshaanza kuashiria kutoboka. yani niliziacha zile product zote mara moja na ninazo nyingine sijazifungua na wali sitaki haya maproduct tena.

Tuwe makini sana watanzania na hizi product. Tuna vitu vingi fresh ambavyo atuitaji product wala kunufaisha wazungu. Tuna vyakula vingi vipo ambavyo ni organic na tuna access nanvyio kila siku. huku hakuna mavyakula ya MACDonald.
 
Kwa kweli WTZ wengi hawapendi kusoma na kuapreciate mambo mazuri. GNLD products ni supllement za vitamin, proteins , minerals etc. Tunakula vyakula bora ,sawa lakini hata ule vipi huwezi kupata ile kiasi mwili unataka.

Ni vizuri kutumia supplements na kwa hao wanosema eti usipoyumia tena unachakaa kama mmea uliokosa rutuba ni waongo sana au hawajui kitu, aidha ni majungu. Isitoshe hii ni biashara ya MLM mult level marketing.

Unapata na pesa juu ya afya bora. Enyi msiojua , acheni kupotosha wanaojua kwa hila zenu.
 
kabla ya kuchangia ni vizuri tukapata maelezo kuhusu hiki kichangiwacho mjadalani.
mu aloe vera tunao sawa je tunautumia?, kama tunautumia je tunautumije?, tuna u process vp hadi usipoteze virutubisho vyote mhimu. pia TGNP na Forever ni vitu viwili tofauti so ni vizuri tujadiri products za kampuni moja na sio kuzi group, kuna ushahid wa kutosha watu kupona magonjwa yaliyoshindikana baada tu ya kupata virutubisho hivi vya bidhaa za FOREVER LIVING,
hapa kuna faida nyingi sana maana hv ni virutubisho so ni kinga ya magojwa nyemelezi, kuboresha afya nk.
 
kabla ya kuchangia ni vizuri tukapata maelezo kuhusu hiki kichangiwacho mjadalani.
mu aloe vera tunao sawa je tunautumia?, kama tunautumia je tunautumije?, tuna u process vp hadi usipoteze virutubisho vyote mhimu. pia TGNP na Forever ni vitu viwili tofauti so ni vizuri tujadiri products za kampuni moja na sio kuzi group, kuna ushahid wa kutosha watu kupona magonjwa yaliyoshindikana baada tu ya kupata virutubisho hivi vya bidhaa za FOREVER LIVING,
hapa kuna faida nyingi sana maana hv ni virutubisho so ni kinga ya magojwa nyemelezi, kuboresha afya nk.

Naomba wasomaji waelewe kwamba hapo kwenye red ndugu yangu busy05m amekosea - bahati mbaya, alikuwa na nia ya kutaja GNLD. TGNP ni kitu kingine tofauti kabisa na virutubisho. Kwa faida ya wasiofahamu TGNP ni Mtandao wa Jinsia Tanzania - Tanzania Gender Networking Programme.
Asanteni kwa uelewa.
 
Last edited by a moderator:
Naomba ushauri wewe kuna mtu ameniletea dawa ya ngozi ya forever....sijawahi kutumia. Nikiaangalia haina nembo ya tbs. Wasiwasi isje ikinipa madhara hapo baadae.


Nawakilisha
 
Hizo huwa hazina hiyo nembo but unatumia tu Kwa imani, iwapo unatatizo la ngozi na unataka kutibu ndani ya mfumo wako Wa ngozi nitafute pm.
 
Product yao moja ( sipendi kuitaja hapa) kidogo iniuwe, namshukuru sana daktari wangu kwa kuokoa maisha yangu
Alooo yaani achaa kabisa kutumia supplement ya aina yoyote bila ushauri wa daktari, vinginevyo unajimaliza mwenyewe!
 
Mm pia ni mmoja wapo wa watumiaji wa hii bidhaa za forever ila sidhani kama zinamadhara kwa sababu ni dawa za asili zilizotengenezwa kwa mfumo wa kisasa............ila ni gharama sana
 
nina maswali machache kuhusu FOREVER LiVING PRODUCTS.Hizi bidhaa kila kukicha napata sms,simu matangazo kuhusu umuhimu ktk afya n.k maswali yangu ni:

1. Kuna wangapi wamefaidika kiafya hapa nchini kutokana na kutumia bidhaa hizi (kwa mf kupungua uzito toka kilo mia mpaka kilo 70)???

2. je TBS wamethibitisha ubora wake????

3. Ni watanzania wangapi wanaojihusisha na uuzaji wa hizi bidhaa wamefanikiwa kutika kimaisha ( hii ni kwa sababu model yao ya kibiashara ni kuwa muwekezaji unapewa semina kisha unatakiwa ununue bidhaa hizi kisha ukatafute wateja wewe mwenyewe hivo ukikosa wateja hasara kwako, na tukumbuke kuwa bei ya bidhaa hizi si ndogo)

4. Wizara ya afya inefanyia ukaguzi wa athari za matumizi ya madawa haya hasa kwa wagonjwa wa magonjwa kama kisukari ambao wanaambiwa wakitumia hii kitu watapona??
 
Products ni nzuri zingekuwa na madhara TFDA wasingeziacha hadi sasa kwani haziuzwi kwa siri. Naona kupata ushauri wa Dr ni nzuri kabla hujazitumia.
 
Jamani wakuu samahani naomba msaada kuhusiana na hizi bidhaa za forever living zina ubora gani na madhara gani?
 
Mi natumia Deodorant Stick, ni nzuri ziko poa. Kuna mdada flani ye ndo aliniuzia. Naskia wapo Posta watembelee ukapate maelezo ya kutosha na kuona bidhaa zao kwa macho.
 
Jamani wakuu samahani naomba msaada kuhusiana na hizi bidhaa za forever living zina ubora gani na madhara gani?

Ni Nzuri mkuu na zina ubora zimethibitishwa duniani kote. Forever ipo nchi 158 duniani na Sio Tanzania tu. Google ubora wa bidhaa za mmea wa Aloe Vera ujiridhishe. Tuna bidhaa nzuri sana we recommend kwa sababu tunazitumia Pia.
 
Si kwamba hizi ni DAWA. Ni Supplements wakuu. Dawa ni kwa ajili ya mtu anayeumwa ln supplements ni kwa yeyote especially in busy life.

Kuna mtu amesema wetu karoti ni nyingi. Yes, that is true, lkn that is not the issue. Yawezekana karoti ni nyingi sokoni, ln je unaweza kufaidika nazo kwa kuziona zikiwa zimepangwa kwenye stalls?

Shida yetu ni premature conclusions. Supplements wandugu ni kwa ajili ya wote wasioweza kwa sababu moja au nyingine kupata balanced diet. Na si hivyo tu, yawezekana hata muda wa kula ndio ukawa tatizo kwani chakula hakikufuati, sasa ukipiga hesabu muda wa kukifuata na kula, wengi tunaamua kukacha.

Kama haitoshi, si kila tunachokula hufyonzwa kwa namna inayotakiwa. FLP wana kitu inaitwa ABSORBENT C. Hii inaasaidia ufyonzwaji wa virutubisho. Upo uwezekano unakula balanced diet, lkn haifyonzwi, then what? Wastage.

Kuhusu biashara, hii sio pyramid. Humpi mtu fedha zako zaidi ya wewe kumnunulia mtu kwa bidhaa kwa fedha zake mwenyewe na wewe kupata kami
 
kimsingi wengi hawajapata elimu sahihi kuhusiana na bidhaa za forever,waliotumia ndio mashuhuda wazri wa bidhaa hizi(wanaziamini)
 
Si kwamba hizi ni DAWA. Ni Supplements wakuu. Dawa ni kwa ajili ya mtu anayeumwa ln supplements ni kwa yeyote especially in busy life.

Kuna mtu amesema wetu karoti ni nyingi. Yes, that is true, lkn that is not the issue. Yawezekana karoti ni nyingi sokoni, ln je unaweza kufaidika nazo kwa kuziona zikiwa zimepangwa kwenye stalls?

Shida yetu ni premature conclusions. Supplements wandugu ni kwa ajili ya wote wasioweza kwa sababu moja au nyingine kupata balanced diet. Na si hivyo tu, yawezekana hata muda wa kula ndio ukawa tatizo kwani chakula hakikufuati, sasa ukipiga hesabu muda wa kukifuata na kula, wengi tunaamua kukacha.

Kama haitoshi, si kila tunachokula hufyonzwa kwa namna inayotakiwa. FLP wana kitu inaitwa ABSORBENT C. Hii inaasaidia ufyonzwaji wa virutubisho. Upo uwezekano unakula balanced diet, lkn haifyonzwi, then what? Wastage.

Kuhusu biashara, hii sio pyramid. Humpi mtu fedha zako zaidi ya wewe kumnunulia mtu kwa bidhaa kwa fedha zake mwenyewe na wewe kupata kami
Naomba utuelezee uelewa wako kuhusu Pyramid scheme business model. Tukipata chanzo cha maelezo utakayoweka, utakuwa umeutendea haki huu mjadala.
 
Mwenye tatizo na hizo au swali lolote anicheki kwa watsapp 0758393393 kindly and humble we are going to share
 
Back
Top Bottom