kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,240
- 2,987
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.
Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu
1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara
2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza
3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga
_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka
_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu
4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M
5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi😂😂
6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii
_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi
_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii
_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii
7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii
_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka
8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho
9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi
_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi
- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume
10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu
- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.
11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao
11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi
_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia
12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)
_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache
SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu
_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.
USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA
_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi
_ Hakuna pesa za kudownload
Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu
1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara
2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza
3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga
_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka
_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu
4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M
5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi😂😂
6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii
_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi
_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii
_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii
7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii
_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka
8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho
9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi
_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi
- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume
10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu
- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.
11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao
11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi
_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia
12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)
_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache
SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu
_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.
USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA
_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi
_ Hakuna pesa za kudownload