Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 175,907
- 193,930
Hahahaha... Dah! Kwa 1300/=kweli mkuu ukishajua udhaifu wa mwanamke kushnei
kuna mmoja nilimfukuziaga kama wiki moja ivi kila nikimwambia namhitaji ananipiga kalenda mwenyewe akaniropokea naomba mia tatu nikanunue kichwa utumbo na mguu wa kuku nikampatia kesho yake nikashika mkono ili nimshawishi tufike adi geto nikamnunulia hivo vitu vya 1000 kala we kamaliza bada ya mda nikajitanulia miguu kiulaini mpaka leo nikimwitaji tu nampata kwakumnunulia hivo vitu
Udhaifu wake ndiyo hivyo vitu...
Kwani udhani mademu au wake za watu wanachukuliwa vipi... ni ukijua udhaifu wake tu basi..