Utongozaji wa wanawake mjini huu hapa

Utongozaji wa wanawake mjini huu hapa

Mie napenda magari ila sio awe nalo mwanaume ili nimpende au aninunulie au anipe la hasha. Napenda magari niwe nalo na niwe naliendesha. Rejea uzi wangu wa catch me if you can....

I bet you Kasie hata ujue weakness yake kumpata kila unapotaka ni yeye a take na si maujanja yako.... wallah tena nakuapia. Labda nikikuona tuu nikuzimie mimi hapo utanipata kiulaini sasa sijui utajibadilisha muonekano......
 
Fanya kweli basi... maana naona mademu wako style ya kuwapata ni kwa magari tu huna kingine?
Inategemea na huyo mwananke anataka aingiliwe na gear gani...

Mwenyewe anakuambia anapenda gari/magari sasa utamuingilia na nini zaidi ya hicho anachotaka... ni kusoma alama tu siyo lazima iwe gari...

Mwingine anapenda shopping... ukimpeleka roho yake safi... mwingine pombe... mwingine pesa... mwingine club... lakini hizo sehemu zote gari lina umuhimu wake...
 
Hahahahaaaa unafikiri hao ni Kasie....... umenoa ni bora ukauliza wazoefu walau uje na njia mpya ulizozipanga hadi saa hii ninazo na najua jinsi ya kuzitatua. .... achimpati mtu hapana

Kuficha aibu kuwa umetoka KO namezea tuu au ndo ile unakufa kiume heheheh wenyewe mnaita kishujaa kumbee kufa kihoro hehehehee

Acha kuongea sana... subiri vitendo...
 
Jamani not fair.....
Hiyo ni tabia mbaya.....

Mie niko hivi.... napenda raha ila sikwambii kama hunisomi basi utabaki kusema ninamambo ya kitoto au ya kizamani.
Kuna utundu flani hivi ndo ulevi wangu vingine material tuu

Hebu malizia, alipogundua murano uliiazima na ushamkula ilikuwaje?
Duh utundu gani huo kwani watu wanasikiliza kwa makini na mihemko imeshapanda.
 
vip kuna aliefanikiwa kuona plate number ya gari yako?, mbona hukuleta mrejesho ajuza kasie

Hakuna aliyeniletea picha so far yawezekana wameona ila wamechuna tuu. Zama yake ishapita pilika pilika za sikukuu na likizo sikuweza kuleta mrejesho pamoja na kuwa hakuna aliyejitokeza.
 
Back
Top Bottom