Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,496
- 185,685
Ssshhh kesho jumatatu...Waaalaaa haitakaa itokee. Wenzio wanaiita popo mwenzio nakula ujana woyoowooo
Wewe kula ujana.. ila jiandae kuliwa na smart911...
Ssshhh kesho jumatatu...Waaalaaa haitakaa itokee. Wenzio wanaiita popo mwenzio nakula ujana woyoowooo
Utanifungulia milango mwenyewe... na kuniachia wazi...Hakuna cha kitendo wala vitendo waliotangulia walisema hivohivo. Labda ufanye counter attack which is a crime....... should be legal with mutual understanding
LolSijakubali kushindwa nimeamua kuacha. .....
I bet hata uweke mzigo mezani hunipati ng'oo
Hivi tokea 2.1GPA awaombee muangaliwe kwa ukaribu mnawashwa kumchokonoa Lowassa ee. Naona hutaki Uzee wewe.Lowasa awa mwenyekiti Wa chadema na kusababisha baadhi ya Nyumbu kujinyea.
Na tutawafunua mpaka wakomeKuna mwanamke mmoja anacheo fulani hivi... na ni mzuri ni mzuri sana... yeye kila niki chat nae ni story za maisha fulani hivi ya gharama... kila nikimtongoza anapotezea.... siku akataja udhaifu wake kwamba yeye anapenda sana gari inaitwa Murano yani akiiona dah anapagawa kabisa...
Ikawa point ya ushindi kwangu... nikabadilishana gari na rafiki yangu kwa siku tano tu... akanipa Murano yake... nikamfanyia suprise ya kumfuata kazini nimrudishe kwake.. kwa Murano ya kuazima...
Mbona tulimalizana siku ile ile...
Ssshhh kesho jumatatu...
Wewe kula ujana.. ila jiandae kuliwa na smart911...
Utanifungulia milango mwenyewe... na kuniachia wazi...
Lol
Makubwa
Kuballi yaishe, mwanamke hawi mbishi hivyo... Kuna raha bado hujazipata...Ndoto za alinacha hizooo
Kelele za mbu hazimnyimi usingizi mwenye nyumba...Maneno ya mpangaji hayo hayamnyimi usingizi mwenye nyumba, mla mla leo mla jana kala nini?
.................tehee twende ... twende....😛😛😛
Kuballi yaishe, mwanamke hawi mbishi hivyo... Kuna raha bado hujazipata...
Kelele za mbu hazimnyimi usingizi mwenye nyumba...
Tukienda utakubali... Acha kulamba lamba...🙂 🙂 🙂
Kuna watu walishasema huyu Kasie anahulka za she-male............ mie ubishi nimezaliwa nao nikiuacha nakuwa sio Kasie.... UPOOO???
Raha zote unazozijua wewe mie nilishaziona na kuzila kabla hata hujaliona jua na hakuna jipya yote yanajirudia. Hivyo ukijitutumua kunionyesha hizo raha utashaa mwenzio kwangu ni revision halafu wala sishtuki ndo kwanzaaa nachonga kucha zangu najiandaa ku m-massage mtu hadi ataje pasiwedi zake zote leo jioni ..............🙂🙂🙂
Kumbe wewe sio we kitambo kile hata maana ya msemo niliouweka hapo hukuelewa maana yake....
Hhehehee ungekuwa wa kitambo kile ungejua jinsi ya kuitikia twende twende........ twende twendee............... hahahahahahaaa
Ati lamba lamba unapenda eeehhh utakatika ulimi huo hahahahahaaa
Acha matangazo... muda wa kazi huu... kwa hiyo ndiyo unanitaarifu mbinu zako... mimi account zangu hazina ATM Card... kama unaakili utakuwa umenielewa...
Kuna raha moja bado hujaiona wewe... tulia uyaone... unaongea sana... Mimi nakuona wa kawaida sana...
kwani hapa tunaputa ili tuanzishe ugomvi... Hizo twende twende huku mnapigana na vibega... hizo ni Analog... sasa hivi unagongwa tuu...
Sihitaji kujielezea kuwa niko likizo au niko off au niko field au niko stand by au wherever.................
Wewe ndo ujiangalia usiharibu ajira yako, angalia usiige Tembo kupuu............... utapasuka ..........................
Ni vizuri ukiwa a mtazamo huo ili usepe na uendelee na yako. Usiku mwema.