Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,684
Mwenye akili hupambana na hali yake bila kushobokea wengine na kujitukana mwenyewe.
Ukiwa na tatizo nyumbani kwako halitatuki kwa kwenda kujitangaza mwenyewe kwa jirani zako na kuwasifia wao hata kwa mambo ya kijinga kabisa.
Bufa
Usitumie mipaka ya ardhi na idealogy ya CCM kugombanisha wanadamu!
Unaambukiza hapa tuwachukie Wakenya,kwa basis ipi hasa wewe raia mwenye chuki?
Usikae uweke kosa kwa wananchi wakati mandate ya kututawala tumewapa nyie.
Kwanini mwananchi anamsifia jirani yake Mkenya,wewe hutaki unataka nini?Akusifie wewe?
Kuna chanzo cha yeye kusifia Mkenya,na chanzo hasa ni utawala wetu mbovu!
Tungekua na utawala unaotimiza majukumu yake kwa usahihi vitu kama hivi visingekuwepo
Chanzo ni nyie....Mwanachi hana kosa kabisa!
Halafu tabia za kipumbavu za kuwavisha wananchi wa nchi hii dhambi za kipumbavu kutokana na definition yenu muache!