lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Niambie hapo,ingetokea Lowasa angesema kwa kuwa ameibiwa kura angefanya kama odinga. Pangebaki Salama? Ile kutaka kuzunguka kuwashukuru watanzania, mkwara wake siyo wa nchi hii. Watu kutaka kumuombea Lisu,kilitokea nini!ndiyo maana wakati Raila anajipisha kuwa Rais wa wananchi; Rais Uhuru alimpatia hadi ulinzi hadi zoezi likakamilika.
Sent using Jamii Forums mobile app