KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
🍇Bila shaka katika maisha yako umewahi kusikia neno 'KOMBORA' hususan katika tasnia ya lugha za kichawi, 'kwamba ntakupiga kombora' huwa sio i ya kificho, hiyo ndio lugha halisi ya kwamba ukipigwa kombora basi ujue unakufa na kama umepigwa kombora dalili moja wapo nikuota ndoto zakutisha usiku na mchana.
🍇Kombora ziko aina mbili, moja inaitwa (Kaliloze) ambayo hii inapiga masafa marefu kwa speed ya kufumba na kufumbua na nyingine inaitwa (Lilombamema) hii inapiga masafa mafupi nandio maana mchawi anaweza kukuhalibia maisha yaki popote ulipo kwamaana halisi mchawi huwezi kumkimba bali kuepukana nae ni kupata kinga pamoja natiba.
🍇Kombora ni tofauti na Kipapai,
Kipapai ni moja ya uchawi hatari sana, ni uchawi unaofanywa kwa lengo maalumu na kwa muda maalum, kipapai ni kuzubaishwa au kuangamizwa na kudhurika kimwili na kiakili, kwa kifupi haya ni matukio ya kupumbaza akili na kuja kushtuka baadae mambo yanapokuwa yamekwisha kama nibiashara hasara paka utakapo filisika kama unapata pesa huwezi kutimiza malengo kupata matatizo yasio isha kukisa mawazo au kusahau mawazo yako kipindi unapo pata pesa nk
🍇Kuna kipapai cha maradhi mfano wa kutupiwa maradhi mwilini) ndio unaweza kukuta mtu magonjwa haya mwiishi ye kila siku tatuzo jipya pia kuna kipapai cha kwenda hovyo kurukwa na akili au kurogwa ndio maana usione mtu anaongea mwenyewe anaokota makopo unazani anapenda ni ubaya wa binadamu.
🍇Ukipigwa Kipapai haufi, Ila ukipigwa Kombora ni lazima upoteze uhai (Kombora ni pigo la kuua) ambalo mchawi hulituma kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa lengo la kuangamiza.
🍇Makombora kadhaa huwa yanapanguliwa na kinga maalumu ambayo imetengenezwa kwa kutumia nyota yako , na kama huna kinga basi lazima likupate pia kama kinga yako haina nguvu lazima likupate hapo ndio utasikia mtu hajaumwa au kafa kifo xha ajali
🍇Makombora yanaweza kutumwa mengi bila kuchoka na hiyo ndio huwa njia ya mwisho ya mchawi na kama mwanao kapigwa kombora utamuona usiku anaweweseka mala ana ongea mambo yasio eleweka si kwa mtoto hata wewe mtu mzima utakuwa unaota ndoto za kutisha kilasiku ama ndoto za kifo
🍇bunduki ya Kaliloze
Hii ni Kaliloze-Gun maarufu (tobolo ya kaliloze), bunduki nyeusi ya uchawi ambayo inaaminika kuwa wachawi hutumia kuua watu kwa kunyoosha kwenye mionzi ya jua. Inaaminika pia kwamba Kaliloze inaweza kuua mtu hata kama yupo Amerika au Uingereza. Kwasababu yenyewe hupiga masafa marefu, hutumika mchana au hata usiku kwaiyo usijidanganye kuondoka kwalengo lakumkimbia adui maana anauwezo wakukumaliza ama kukuhalibia maisha yako hata ukiwa mbali.
🍇hii ni hatari sana maana hakuna mchawi anae hitaji wewe uwendelee unaweza kufungua daka ila jirani yako akawa anauza sana nawewe kila siku ukaishia kupata hasaratu kilaunapopata pesa hazikai kilasiku majanga ndugu dalili hizo nimbaya sana kwenye maisha yako
🍇Kombora ziko aina mbili, moja inaitwa (Kaliloze) ambayo hii inapiga masafa marefu kwa speed ya kufumba na kufumbua na nyingine inaitwa (Lilombamema) hii inapiga masafa mafupi nandio maana mchawi anaweza kukuhalibia maisha yaki popote ulipo kwamaana halisi mchawi huwezi kumkimba bali kuepukana nae ni kupata kinga pamoja natiba.
🍇Kombora ni tofauti na Kipapai,
Kipapai ni moja ya uchawi hatari sana, ni uchawi unaofanywa kwa lengo maalumu na kwa muda maalum, kipapai ni kuzubaishwa au kuangamizwa na kudhurika kimwili na kiakili, kwa kifupi haya ni matukio ya kupumbaza akili na kuja kushtuka baadae mambo yanapokuwa yamekwisha kama nibiashara hasara paka utakapo filisika kama unapata pesa huwezi kutimiza malengo kupata matatizo yasio isha kukisa mawazo au kusahau mawazo yako kipindi unapo pata pesa nk
🍇Kuna kipapai cha maradhi mfano wa kutupiwa maradhi mwilini) ndio unaweza kukuta mtu magonjwa haya mwiishi ye kila siku tatuzo jipya pia kuna kipapai cha kwenda hovyo kurukwa na akili au kurogwa ndio maana usione mtu anaongea mwenyewe anaokota makopo unazani anapenda ni ubaya wa binadamu.
🍇Ukipigwa Kipapai haufi, Ila ukipigwa Kombora ni lazima upoteze uhai (Kombora ni pigo la kuua) ambalo mchawi hulituma kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa lengo la kuangamiza.
🍇Makombora kadhaa huwa yanapanguliwa na kinga maalumu ambayo imetengenezwa kwa kutumia nyota yako , na kama huna kinga basi lazima likupate pia kama kinga yako haina nguvu lazima likupate hapo ndio utasikia mtu hajaumwa au kafa kifo xha ajali
🍇Makombora yanaweza kutumwa mengi bila kuchoka na hiyo ndio huwa njia ya mwisho ya mchawi na kama mwanao kapigwa kombora utamuona usiku anaweweseka mala ana ongea mambo yasio eleweka si kwa mtoto hata wewe mtu mzima utakuwa unaota ndoto za kutisha kilasiku ama ndoto za kifo
🍇bunduki ya Kaliloze
Hii ni Kaliloze-Gun maarufu (tobolo ya kaliloze), bunduki nyeusi ya uchawi ambayo inaaminika kuwa wachawi hutumia kuua watu kwa kunyoosha kwenye mionzi ya jua. Inaaminika pia kwamba Kaliloze inaweza kuua mtu hata kama yupo Amerika au Uingereza. Kwasababu yenyewe hupiga masafa marefu, hutumika mchana au hata usiku kwaiyo usijidanganye kuondoka kwalengo lakumkimbia adui maana anauwezo wakukumaliza ama kukuhalibia maisha yako hata ukiwa mbali.
🍇hii ni hatari sana maana hakuna mchawi anae hitaji wewe uwendelee unaweza kufungua daka ila jirani yako akawa anauza sana nawewe kila siku ukaishia kupata hasaratu kilaunapopata pesa hazikai kilasiku majanga ndugu dalili hizo nimbaya sana kwenye maisha yako