Uteuzi Zanzibar: Rais Mwinyi ateua Wakuu wa Wilaya

Taarifa kutoka Ikulu ya Zanzibar

View attachment 1661867
Zanzibar inaserikali mbili, yamuungano na ya mapinduzi, serikali ya muungano Rais wa jamuhuri huteua wakuu wa wilaya wa mikoa yote ya Tanzania, sasa Rais wa Zanzibar naye anateua wakuu wake wa wilaya, je, Zanzibar itakuwa na wakuu wa wilaya wawiliwawili? Nakuomba mwanasheria Pascal Mayala unifafanulie.
 
Zanzibar inaserikali mbili, yamuungano na ya mapinduzi, serikali ya muungano Rais wa jamuhuri huteua wakuu wa wilaya wa mikoa yote ya Tanzania, sasa Rais wa Zanzibar naye anateua wakuu wake wa wilaya, je, Zanzibar itakuwa na wakuu wa wilaya wawiliwawili? Nakuomba mwanasheria Pascal Mayala unifafanulie.
Hapana kuanzia waliporekebisha katiba yao nadhani 2010?(mtanishihisha) ile mpaka wakapata bendera yao. Mamalaka ya Rais wa JMT yalikasimishwa kwa Rais wa Zanzibar kuteua wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa hateui tena Rais wa Jamuhuri ya Muungano
 
Hapana kuanzia waliporekebisha katiba yao nadhani 2010?(mtanishihisha) ile mpaka wakapata bendera yao. Mamalaka ya Rais wa JMT yalikasimishwa kwa Rais wa Zanzibar kuteua wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa hateui tena Rais wa Jamuhuri ya Muungano
Zanzibar tangu zamani wakuu wa mikoa, wilaya pamoja na wakuu wa vikosi vya SMZ wote huteuliwa na Rais wa Zanzibar na wanaoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ni wale wote ambao wapo katika mambo ya Muungano.
 
Zanzibar tangu zamani wakuu wa mikoa, wilaya pamoja na wakuu wa vikosi vya SMZ wote huteuliwa na Rais wa Zanzibar na wanaoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ni wale wote ambao wapo katika mambo ya Muungano.
Sio toka Zamani mkuu. Nadhani huijui historia ya Zanzibar vizuri

Hivi unajua hata Rais wa Zanzibar alikua anaapa mbele ya Rais wa Muungano kuwa Mjumbe wa Baraza la mawaziri sio kama saivi anavyoapa mbele ya Jaji mkuu??

Unajua pia kuwa kipindi cha Pili cha Karume aligoma kufanya hivyo?
 
Hapana kuanzia waliporekebisha katiba yao nadhani 2010?(mtanishihisha) ile mpaka wakapata bendera yao. Mamalaka ya Rais wa JMT yalikasimishwa kwa Rais wa Zanzibar kuteua wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa hateui tena Rais wa Jamuhuri ya Muungano
Umeanza na unadhani na wewe si Pascal Mayala, unanidanganya mimi mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliteuliwa na Rais wa Zanzibar!
 
Hivi huyo Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar yeye atateua watumishi wapi?
 
Back
Top Bottom