B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
Huyo Ni mtoto wa mwinyi sheik...inchi ya kifalumeeUkoo ule ule
Huyo Ni mtoto wa mwinyi sheik...inchi ya kifalumeeUkoo ule ule
Nazo ni nyingi sana, nadhani ilipaswa ikiwezekana zipunguzwe piaHivi Zanzibar ina wilaya 10 tu?
Zanzibar's 2020 population is now estimated at 705,078. In 1950, the population of Zanzibar was 53,530. Zanzibar has grown by 28,264 since 2015, which represents a 4.18% annual change. These population estimates and projections come from the latest revision of the UN World Urbanization Prospects. These estimates represent the Urban agglomeration of Zanzibar, which typically includes Zanzibar's population in addition to adjacent suburban areas.Hivi Zanzibar ina wilaya 10 tu?
Yes, nchi nzima watu laki 7Zanzibar ni ndogo sana...ukubwa wa wilaya ni sawa na kata kwa huku kwetu bara
Nadhani alikuwa wa Nkasi kipindi hicho akiwa CDM - ni dhahiri kwamba nchi ile ina watu wachache sanaKuna mbunge aliwahi kusema Zanzibar unaweza kuzunguka na baiskeli ukaimaliza
Hao ma DC 10 nao watapewa VXR-V8?
Hahahaha hadi walitaka kumpiga nje ya Bunge wabunge wa Zanzibar alikua na mdomo mchafu sana kwamba yeye jimbo lake ni kubwa ila mbunge wa Jimbo moja la Zanzibar akitaka kukutana na wananchi wake anapiga filimbi tu na wote wanasikia wanakusanyikaNadhani alikuwa wa Nkasi kipindi hicho akiwa CDM - ni dhahiri kwamba nchi ile ina watu wachache sana
Hiyo ni Wilaya hata siyo nchiZanzibar's 2020 population is now estimated at 705,078. In 1950, the population of Zanzibar was 53,530. Zanzibar has grown by 28,264 since 2015, which represents a 4.18% annual change. These population estimates and projections come from the latest revision of the UN World Urbanization Prospects. These estimates represent the Urban agglomeration of Zanzibar, which typically includes Zanzibar's population in addition to adjacent suburban areas.
Noted is that:-
Mkoa wa Kagera una wilaya saba huku idadi ya watu wakiwa takriban 2.3M - sasa kwa nchi yenye wakazi laki nane duu iwe na wilaya ngapi?
Sawa KabudiUnashangaa nini,tena hizo Wilaya 10 ni nchi na Zina Rais. Na Kuna wizara 14
Mie nikidhani ni Commodore!Alikuwa KMKM Cheo chake ni Commander (CDR) ni sawa na Luteni kanali.
KMKM = Kikosi Maalum Kuzuia Magendo. Sio kamandi ni kikosi cha SMZ.
Mtoto wa kaka ake wa kwanza huyoNo. 4 Aboud Hassan Mwinyi, huko majina watu wanafanana sana
Hahahaha hadi walitaka kumpiga nje ya Bunge wabunge wa Zanzibar alikua na mdomo mchafu sana kwamba yeye jimbo lake ni kubwa ila mbunge wa Jimbo moja la Zanzibar akitaka kukutana na wananchi wake anapiga filimbi tu na wote wanasikia wanakusanyika
Hiyo ni Wilaya hata siyo nchi
No, ni nchi zipo nchi nyingi sana zenye idadi ndogo ya watu na zimekamilika mamlaka za kiutawala. Nchi hizo ni:-Zanzibar ni ndogo sana...ukubwa wa wilaya ni sawa na kata kwa huku kwetu bara