Uteuzi Zanzibar: Rais Mwinyi ateua Wakuu wa Wilaya

GeoMex

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
5,431
19,773
Taarifa kutoka Ikulu ya Zanzibar

Screenshot_20201228-225401.jpg
 
Kamuulize Maalim aliyeibiwa anasemaje?
Ni bora wayabebe wezi ili isije ikaonekana walioingia wameharibu,au kuonekana walioibiwa wanalipiza kisasi wanapochukua amri za papo kwa papo.wacha ccm wakabane wenyewe kwa wenyewe kwa taarifa wakurugenzi wote matumbo joto.
 
Ni askari huyo alishakuwa mkuu wa Kamandi ya KMKM. Hicho ni cheo
Alikuwa KMKM Cheo chake ni Commander (CDR) ni sawa na Luteni kanali.
KMKM = Kikosi Maalum Kuzuia Magendo. Sio kamandi ni kikosi cha SMZ.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom