Huu ndo mzizi wa fitina huko serikalini aiseeeeWafanyakazi wa umma wana uhakika wa mishahara kila mwezi private sector usipojituma na kufanya kazi kwa weledi hauna kazi hivyo watu ujituma sana na ma CEO mengi ujitahidi kufanya kazi kufikia malengo ya kampuni.
Wapo mapirot wazuri , mameneja wazuri,chukua hata jeshini wanaoelaewa manegement!!
Watu waadilifu wachapa kazi wapo wala hakuna shida, weka wafanya kazi waadilifu shirika litafufuka!!
Bado watu wana akili za Kutawaliwa.... Mashirika Yanaendeshwa kwa system yake kwa Mfano Shirika la Bima la Taifa mfumo wake hata ukimchukua balozi akae department yeyote hawezi shindwa maana mfumo upo yaani unasoma cha kufanya na cha kutokufanya either umamrishe fulani afanye kwa muda muafaka nini aguse nini asiguse so kila mmoja pale anajua wajibu wake... Sasa hapo ATC am sure watakuwa wana mifumo yao pia... na siku hizi c.e.o yeyote maamuzi yake yana limit yake zaidi ya maendeleo hufanywa na body... Mzungu mzungu wtf
ATCL hiyo unayoiona leo ilishapitia kwenye uongozi wa hao wazungu unaowataka. Zamani iliitwa ATC, walipokuja hao wazungu wako ndipo wakabadili jina kuwa ATCL sanjari na kumuondoa Twiga mkiani. Ndio kusema umesahau, au hujui, au ulikuwa hujazaliwa?Hapa anatakiwa mzungu ambaye hawezi kupoke vi MEMO kutoka kwa nani eti katibu mkuu wa chama ameandika kimemo kuwa mwanaye apewe nafasi kwenye ndege huku hamna hela na nauli, kingine JPM ATCL isiingiliwe na siasa iache iwe huru kabisa ijiendeshe na uongozi wake ujitegemee, vinginevyo tutachekwa sana tu.
Mfumo haudumazi maana una kanuni na bila kanuni Kampuni haiendi mwisho wa siku mtaishia kutumbuana... so mifumo ya makampuni nyingi ni mizuri tatizo ni uaminifu wa wafanayakazi na management pia... kuna watu huwezi wadhania kama wanaiba kumbe ni vibaka hatari makazini bora vibaka wa njeNo wonder mashirika haya yana hali mbaya, likiwemo Shirika la Bima la Taifa. Mfumo ni nini? Ni kama vile unapendekeza mashirika haya ya kibiashara yaendeshwe kwa utaratibu uleule ulioyafanya yakafa au yakafeli. Biashara imekuwa ya ushindani sana. Ubunifu wa hali ya juu unatakiwa (for this, one needs to be able to attract and retain creative/innovative minds). Unnecessary bureaucracy in the name of mfumo inadumaza ubunifu. Wafanyakazi wanakuwa tu kama robots, sticking to routines or mfumo in your lexicon.
Sucre....Kuna mzungu mwenye kadi ya chama chetu? Kadi ni kipaumbele cha kwanza. Kipaumbele cha pili awe aligombea ubunge kwa tiketi ya chama chetu akashindwa kwenye kura za maoni au kwenye uchaguzi wenyewe.
Hata hayo mandege ya waarabu ma CEOs ni wazunguDuuh uzungu bado umetutawala wstanzania. Waarabu wanamashitika ya Ndege yanaongozwa duniani lkn hawakitajwa.
Naunga hoja,na ndege zenyewe kumbe sii za ATCL ni za wakala wa ndege za serikali.Nasikia tayari serikali imetoa tangazo la kumuajiri CEO mpya wa air Tanzania, serikali iwe makini sana kumuajiri CEO, huyu ndiye anayeandaa dira na mwelekeo wa kampuni,
Anashawishi na anaongoza shirika, naomba serikali imuajiri mtu wa nje kama wazungu wazoefu waliofanya kazi hizi kwa makampuni makubwa na yamekuwa kwa kasi leo hii tunayaona yakiwa na mafanikio makubwa.
ATCL imeshabadilisha ma CEO sijui mara ngapi wote hakuna ambaye utendaji kazi wake umeonekana kuifufua ATCL kazi ilikuwa kuajiri tu huku wakijua hakuna kazi wafanyakazi hao wanazozifanya.
JPM liangalie swala hili utawalaumu watendaji kazi wako bure kumbe mlimchagua mtu ambaye sio sahihi kuisimamia ATCL. ukimchukua CEO mzungu mwenye uwezo mkubwa na umpe pesa ATCL itafukuzana na KQ (Kenya Airways) hapa sio pa kuchezea eti CEO lazima awe mtanzania, na akiwekwa mtanzania nawapa miezi 6 tutampima nitarudi tena hapa kuwapa jibu.
watanzania sio kwamba hatuna uwezo hapana ila tuna katabia flani hivi ndio maana wengi tunapata taabu sana kufanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa wengine tunakimbia wengine tuna survive na wengine tunakomaa,
Hapa anatakiwa mzungu ambaye hawezi kupoke vi MEMO kutoka kwa nani eti katibu mkuu wa chama ameandika kimemo kuwa mwanaye apewe nafasi kwenye ndege huku hamna hela na nauli, kingine JPM ATCL isiingiliwe na siasa iache iwe huru kabisa ijiendeshe na uongozi wake ujitegemee, vinginevyo tutachekwa sana tu.
Ulichoandika ni Kiswahili au lugha gani Kaka?halienunua ni lazima haingilie na anaweza kupendekeza nauli.