Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,215
Mfumo haudumazi maana una kanuni na bila kanuni Kampuni haiendi mwisho wa siku mtaishia kutumbuana... so mifumo ya makampuni nyingi ni mizuri tatizo ni uaminifu wa wafanayakazi na management pia... kuna watu huwezi wadhania kama wanaiba kumbe ni vibaka hatari makazini bora vibaka wa nje
Kwa hiyo hicho unachoita mfumo si suluhisho, right? Maana unasema mifumo ipo mizuri lakini lakini bado wafanyakazi si waaminifu. So, what is mfumo good for?