UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

With all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
Hao ndio wanacoordinate masuala husika mfano Diplomasia huyo anauwezo hata wa kusikiliza na kutafuta maoni toka kwa wabobezi waliopo wizarani, vyuoni mfano masuala ya Afrika anaweza kumconsult Kibamba toka pale kurasini chuo cha diplomasia akapata insights halafu akazihitimisha akampa bosi wake,

Hizi nafasi zinahitaji watu wenye uweledi wa hali ya juu sana. Wengine hapo hatuwafahamu ingependeza mngeweka Cv kwa mbali. Kuna mtoto mdogo hapo kamaliza Usiu university kenya naona kalamba shavu kubwa.
 
With all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
Rais anaweza kushauriwa na mshauriwake wa kidipolmasia jambo ambalo hajashauriwa na waziri wake wa foreign na utakuta lina manufaa akamwagiza waziri. Rais ni chombo kikubwa lazima awe timu ya watu wenye uwezo tofauti.
 
Hao ndio wanacoordinate masuala husika mfano Diplomasia huyo anauwezo hata wa kusikiliza na kutafuta maoni toka kwa wabobezi waliopo wizarani, vyuoni mfano masuala ya Afrika anaweza kumconsult Kibamba toka pale kurasini chuo cha diplomasia akapata insights halafu akazihitimisha akampa bosi wake,

Hizi nafasi zinahitaji watu wenye uweledi wa hali ya juu sana. Wengine hapo hatuwafahamu ingependeza mngeweka Cv kwa mbali. Kuna mtoto mdogo hapo kamaliza Usiu university kenya naona kalamba shavu kubwa.
Sasa huyo na Wazir wa mambo ya Nje nani ana nguvu kwa Mh Rais?
 
Akili zenu anazo jiwe na tutamuongezea madaraka mpk 2030 #Atake asitake.
Akili zenu zimeegemea hapa, hamana mnachokijua

Screenshot_20210402-195910_1.jpg
 
Wote watangazwe. Hao ni washauri wa Rais hivyo mambo mengi atakayoamua au kusema Rais yana mawazo na utendaji wa hao watu pia.
Wakuu wa mikoa na wilaya ndio watangaze, hao wengine wapewe taarifa tu personally.
 
Alikuwa yule mpwa wake Jiwe anaitwa Ngusa Samike
Ngusa Samike ni mtoto wa Mzee Samike,aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Singida miaka ya 90,Mkuu wa mkoa akiwa Mwita Marwa enzi hizo.Dada yake na Ngusa anaitwa Leah Samike,ambaye sasa ni mwandishi wa habari.Sina uhakika kama Mzee Samike ana uswahiba na Jiwe!
 
Wasaidizi wa Rais ndio washauri wa Rais katika sekta mbalimbali. Usingependa au unafikiri sio muhimu kufahamu Rais wako anashauriwa na watu gani?
Mnaelewa madhara ya kuendesha serikali hasa ofisi namba 1 gizani?
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
 
Back
Top Bottom