Anaenunua mashuka,mapazia,vikombe na sahani na vitunguu vya ikulu ndio mnikuluKweli kiswahili kimepanuka 'mnikulu' ndiye mtu gani hapo Ikulu
With all due respect Mkuu, jiongeze! Ofisi binafsi ya Rais sio Baraza la mawaziri. Inahitaji wasaidizi katika Maeneo anayoona yanafaa. Rais anafanyakazi zake ikuluWith all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Unamjua mama yake Ngusa?Ngusa Samike ni mtoto wa Mzee Samike,aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Singida miaka ya 90,Mkuu wa mkoa akiwa Mwita Marwa enzi hizo.Dada yake na Ngusa anaitwa Leah Samike,ambaye sasa ni mwandishi wa habari.Sina uhakika kama Mzee Samike ana uswahiba na Jiwe!
Kilaza huyo achana nae. Yani mtu mzima hadi leo hajui kama Ikulu kunakuwa na hiyo Team. Hao tena wachache!With all due respect Mkuu, jiongeze! Ofisi binafsi ya Rais sio Baraza la mawaziri. Inahitaji wasaidizi katika Maeneo anayoona yanafaa. Rais anafanyakazi zake ikulu
Wewe utakuwa Mtu wa Chato inakuuma sana, Mzilankende alikuwa anateuwa miaka mitano mfululizo sasa Mama anapiga dekioBado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Kipindi cha mwendazake ilikuwajeAngalau waislamu nao wanateuliwa.
Naona wa 5 Kati ya 8
Hakuna ujanja. Magufuli ataendelea kuwatesa vichwani mwenu milele. Lazima mumtaje, vinginevyo nafsi zenu hazitulii. Viva Magufuli. Wanaokuchukia hawapost bila kukutaja. Umewakaa vichwani kuliko hata wale wanaokupenda.Msemaji wa familia ya Hayati JPM
Hao ukiona hivyo ni qulified sio wale wa Ziwa MagharibiNaona Sukuma gang wanaendelea kupeta tu.
Kwenye huo uteuzi wapo wa kutosha
Simfahamu.Labda ndio tuanzie hapo!!!Unamjua mama yake Ngusa?
Watu wa kuangalia dini hamjaona hapo.Hongera wote mlioteuliuliwa, Chapeni kazi hasa msimuangushe Raisi wetu
Sidhani hiyo nafasi kama inahitaji Professionalism anaweza kupewa hata muuza kahawa muhimu atambuwe majukumu yake ni yapi.kwani mnikulu anatakiwa kuwa na cv gani? maana hiyo ni tittle kama ya kimila hivi
Jibu lingine ni lipi? Huyo ndie mwezeshaji wa shughuli zote za ikulu za siku..Mnazidi kunichanganya maana kila mtu na jibu lake. Ukweli ni upi?
Mangungo wa Msovero, hutaelewa wakuache tuMnazidi kunichanganya maana kila mtu na jibu lake. Ukweli ni upi?