Han'na Nzanzibari hapo waangalie vizuri sana.Rais ametoa salaam hasa za Jamhuri ya Muungano kwa kuteua wasaidizi toka Zanzibar na Tanganyika.
Kero za Muungano zinazidi kupunguzwa na Muungano kuimarishwa kwa kutosahau wasaidizi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano lazima waonekane kutoka pande zote mbili.