UTEUZI: Rais Magufuli amteua Dkt. Mndolwa kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta Tanzania(TPB)

Ka JPM eti kanateua watu usiku usiku ili kutusahaullisha billion 1500 zetu! Baba Jessy tunaomba hesabu yetu!
 
Mh Rais John Pombe Joseph Magufuli amemteua DKt Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) . Dr Edmund Mndolwa pia ndiye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Ya CCm Taifa aliyechukua nafasi ya Abdalah Bulembo baada ya uchaguzi wa ndani ya chama .

Uteuzi huu unanikumbusha uamuzi wa hiali wa Mh Fedrick Sumaye kuomba kuachia nafasi yake kama Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya CRDB baada tu ya kuchaguliwa kuwa Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kwa kile alichodai anaepusha mgongano wa masrahi ya kisiasa na benki ya CRDB .
Baada ya kuona taarifa ya uteuzi huu wa Dr Bernard Mndolwa nimejiuliza sana sijapata majibu , katika Nchi inayofuata utawala bora ufanisi wa benki tena ya Umma kusimamiwa na Kiongozi wa chama cha siasa ni sawa ? Je Ustawi wa Benki hii utakuwa katika position gani ? Je wateja wa TPB wasio wanachama wa ccm watakuwa postive ? Na Je Mwenyekiti huyu wa bodi ya Wakurugenzi ya TPB atawezaje kuchanganya siasa na usimamizi wa taasisi kubwa kama hii ya fedha ? . Ikizingatiwa nafasi yake kwenye chama ni kubwa na ni ya kitaifa ?

Nini maoni yako ?


rais.jpg
 
Mh Rais John Pombe Joseph Magufuli amemteua DKt Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) . Dr Edmund Mndolwa pia ndiye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Ya CCm Taifa aliyechukua nafasi ya Abdalah Bulembo baada ya uchaguzi wa ndani ya chama .

Uteuzi huu unanikumbusha uamuzi wa hiali wa Mh Fedrick Sumaye kuomba kuachia nafasi yake kama Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya CRDB baada tu ya kuchaguliwa kuwa Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kwa kile alichodai anaepusha mgongano wa masrahi ya kisiasa na benki ya CRDB .
Baada ya kuona taarifa ya uteuzi huu wa Dr Bernard Mndolwa nimejiuliza sana sijapata majibu , katika Nchi inayofuata utawala bora ufanisi wa benki tena ya Umma kusimamiwa na Kiongozi wa chama cha siasa ni sawa ? Je Ustawi wa Benki hii utakuwa katika position gani ? Je wateja wa TPB wasio wanachama wa ccm watakuwa postive ? Na Je Mwenyekiti huyu wa bodi ya Wakurugenzi ya TPB atawezaje kuchanganya siasa na usimamizi wa taasisi kubwa kama hii ya fedha ? . Ikizingatiwa nafasi yake kwenye chama ni kubwa na ni ya kitaifa ?

Nini maoni yako ?


View attachment 754138
Acha wivu wewe!!
 
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi...Cheo kimoja mtu mmoja.. Hata kama haisiki kwenye shughuli zakila siku za utendaji wa shirika bado linaleta ukakasi..Shirika likishindwa kujiendesha itakuwa ni sababu ya CCM.
 
Naona sasa hivi umekuwa mtindo kutokusema mteule alikua nani kabla ya utezi. Sijajua ni bahati mbaya au makusudi lakini ilianzia kwa uteuzi wa aina yake uliotoa mtu Dar hadi Tabora.

Mndolwa kama sikosei amewahi kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi KCB Tanzania. Tunamtakia mafanikio kwa nafasi yake.
Rais Magufuli Amemteua Mwenyekiti Wa Jumuiya Ya Wazazi CCM Taifa DKt Edmund Mndolwa Kuwa Mwenyekiti Wa Bodi Ya Wakurugenzi Wa Benki Ya Posta Tanzania (TPB). Je Katika Nchi Inayofuata Utawala Bora, Ufanisi Wa Benki Tena Ya Umma Kusimamiwa Na Kiongozi Wa Chama Cha Siasa Ni Sawa ?
 
yale yale kiranja anaamini ukiwa na PHD wewe unajua jaani shida tupu,ngoja tuone
 
Back
Top Bottom