Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
JK hana sifa za uongozi kiukweli.Hana uteuzi wa kitaaluma bali kumjua mtu.Natoa mfano huu dhahiri.Hivi karibuni mkuu wa mkoa wa Ruvuma mama Christine Ishengoma aliondolewa mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kuharibu kazi mkoani hapo.watu walishangilia kuondoka kwake.Lakini miezi miwili tu toka aondoke,Jk amemrudisha tena kuwa mkuu wa mkoa huo pale pale.Hapa unajifunza nini katika hili?Hakuna mwingine wa kufanya kazi hizo?Ukizingatia kuwa yeye ni mbunge.kazi zote hizi za nini?