Uteuzi Mkurugenzi wa TBC, Katibu Mkuu na Naibu Makatibu Wakuu

Clement Mshana ni mtu makini sana. Hajui na hana siasa za maji taka. ataipeleka TBC na Nchi mbali sana. Mungu amjalie afya njema. nawapongeza wengine ingawa sina UHAKIKA sana na utendaji wao ila naamini sio "mashemeji".

Inasikitisha kusikia na kusoma humu kwenye JF mtu anamwagia sifa Clement Mshana. Watanzania tumajua Mshana wakati yuko TBC kabla ya kwenda maelezo. Tunajua ni vipi ambavyo ni impartial, tunajua si mbunifu wa mambo, tunajua kwamba anamapungufu kama mwanahabari juu ya mwenendo wa dunia. Huyu sio kiongozi tuliyepashwa kupewa katika kizazi hiki ambacho ni information ungly and wako aware! Kwa wale tuliokuwa tunafatilia kipindi chake cha twambie nafikiri tunaweza kutoa opinion zetu zaid! The most important thing tunapoenda kwenye kubadilisha masafa kutoka analogy kwenda digital na muda aliopoteza katika public sekta ni dhairi hana uzoefu wowote!
 
Mh!! huyu jamaa wa Habari maelezo anaonekana ni mtu wa CCM kwa saana sitegemei chochote cha maana TBC!
 
Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.
 
Hv ndugu zangu mnamjua huyu
Dkt. John Stanslaus Ndunguru, naibu katibu mkuu wizara ya ujenzi. Hv na yeye ni msafi au mchafu ktk uongozi.
 
Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.

Umechanganya madesa, wa Guardian anaitwa Kiondo Mshana, huyu katokea MAELEZO kabla ya kwenda huko alikuwa TBC!
 
Kabla ya uteuzi huu alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya habari maelezo.
Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.
 
Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.

Mkuu umechanganya ma-file. Wewe unamuongelea Mshana ambaye alikuwa (sina hakika kama bado yuko na IPPMedia mpaka sasa).

Clement Mshana hajawahi kufanya kazi IPPMedia, amekuwa serikalini kwa miaka mingi. Kabla ya huu uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Habari (Maelezo). Akiwa hapo Habari Maelezo amewahi kuandika barua ya ajabu sana kwenda gazeti la Mwananchi akilituhumu kwamba lilikuwa likiandika habari za uchochezi wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Mwaka Jana.

Kabla ya kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) alikuwa akionekana TvT (kabla haijawa TBC au kabla Mhando hajaja).

Siwezi kusema mengi, lakini kwa kifupi kwa kipindi alichokuwa Idara ya Habari (Maelezo) alishaonyesha kuwa pro-CCM na hasa baada ya kuandika tuhuma za ajabu kuhusu gazeti la Mwananchi. So, TBC ya chini yake itaendelea kucheza ngoma kwa kufuata midundo na mirindimo ya serikali ya JK!
 
Kabla ya uteuzi huu alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya habari maelezo.

Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.
 
bashiri Mrindoko alitajwa kwenye ripoti ya mwakyembe kuhusu richmond na azimio Na. 14 lilisema:

AZIMIO NAMBA 14:

“Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Ibrahim Msabaha (Mb.), na Katibu Mkuu, Ndugu Arthur Mwakapugi wachukuliwe hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza Taifa kwa makusudi kwenye Mkataba wa Kampuni ya Mfukoni. Aidha, Kamishna wa Nishati, Ndugu Bashir Mrindoko naye achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu wake mpya kuhusu udhaifu wa Richmond Development Company LLC ambao ulijulikana dhahiri na Wizara mwaka 2004 kwenye Mradi wa bomba la mafuta. Ndugu Mrindoko ndiye aliyeiandikia barua Kampuni hiyo kusitisha Mkataba wake na Serikali mwezi mmoja tu kabla ya mchakato wa Zabuni ya umeme wa dharura haujaanza.”

tusiwe warahisi kusahau jamani!!


Mkuu I salute you for this reminder; Mmmmh, may be Makamba was right on our volutile memories!

I LOVE Tz yetu!

 
Clement Mshana ni mtu makini sana. Hajui na hana siasa za maji taka. ataipeleka TBC na Nchi mbali sana. Mungu amjalie afya njema. nawapongeza wengine ingawa sina UHAKIKA sana na utendaji wao ila naamini sio "mashemeji".

Labla haumfahamu vizuri Huyu C mshana, Habari zake , Waulize MWANANCHI COMMUNICATION, kwa kila habari waliyoiandika kipindi cha uchaguzi walionekana wanataka kuvuruga nchi.Huyu mshana alikuwepo hapo TBC, kabla ya kwenda HABARI MAELEZO, na sizani kama atakuja na jipya.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mshana 'Afro' manywele wa 'The Guardian' hajateuliwa kwa leo labda huko siku zijazo.

Aliyeteuliwa ni yule Mzee zamaniii kwenye televisheni iliojulikana kama TVT. Alikua akiendesha kipindi cha TUAMBIE na motekeo yake kualika watu wenye kumuambia tu yale ambayo angependa kuyasikia.

Ni yule baba stocky ambaye anapokuuliza swali ni kama vile anavutiwa na miguu yako tu ndiko anakoangalia muda wote.

Uyu jamaa ametokea The Guardian, alikua Director Pale, ni mchapakazi mzuri sana, but tuangalie kama anaweza kuleta equal right kwy iyo media.
 
AJIRA ZA KUTEUANA SERIKALINI: KWA NINI WATU TUENDELEE KURUHUSU MFUMO WA KUTEUANA KIITIKADI ZA KISIASA ILHALI MALIPO YA GHARAMA ZA UENDESHAJI SERIKALI WATU TUKAZIBEBE KITAIFA ZAIDI KWA KILA MMOJA WETU???????????

Tanzania kweli viongozi wetu ni watu wa ajabu saaana tu; iweje bado tunaendeleza MAGAMBA YA MFUMO WA CHAMA KIMOJA KUTEUANA TU TEUANA KI-KADA WA CHAMA na kunyima Watanzania wengine fursa za kushindania nafasi mbalimbali kama vile ya Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, makatibu wakuu na kadhali????

Matokeo ya kuteuana hivi hujenga sana chuki kitaifa maana hata ajira za chini nazo zinakuja kutolewa na mtazamo huo huo wa ki-Chama kwa kulingana na kada aliyeteuliwa awali anavyopendezewa kudumisha uwepo wa chama chake kila sehemu ya kazi.

Kama kweli CCM kimeamua kujivua gamba; hili la ajira za Watanzania kutolewa ki-upendeleo kichama ikome mara moja na tupitishe sheria bungeni kwamba hakuna tena kuteuana.

Hebu fikiria tu kwamba tangu nyumba 10 ni CCM, kata, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Mabalozi, Wkurugenzi - hivi ndivyo kweli Rasilmali za taifa ziwe zikigawiwa kiasi kwamba siku TLP pia kikishika madaraka basi Watanzania wengine tujihesabu tu kwamba hatuna chetu kweli???

Kama kweli tulihiari sisi wenyewe kwenye azimio la Zanzibar kufuata mfumo wa soko huria na basi tukalizingatie kila mahali hata kwenye ajira zetu serikalini. Hili ni jambo ambalo watu tunalinyamazia lakini hasa ndio chimbuko la watu kukichukia zaidi CCM. Ajira ni za Watanzania wote kwa pamoja, malipo yao ni kodi za wote ila ugawaji mkate wa taifa

Hivi hawakuwaona wachapakazi hawa kama vile Marin Hassan Marin, Elia Elias au yule Dada fulani hivi ka-Odhiambo vile??? Jaama eeehhh, haya mambo ya kuteua teua katika karne ya 21 tuache mara moja.

Kama watu tumeamua kufuata mfumo wa soko huria amba kunahitajika kuonekana uchache zaidi wa serikali katika maisha yetu, basi hata ya ajira serikalini nazo ziende ki-ushindani watu watume maombi na mashirika huru yawapembue mpaka kupatikane hata Mheshimiwa Ali Salleh wa BBC Zanzibar bila kumtazama itikadi yake. Uteuzi kila kona ya nchi ni utamaduni wa serikali inayofuata mfumo wa kikiritimba ambapo kila kitu hunyesha kama mvua kutoka kwa watawala tu.

Pindi tunapofanya hivyo (kuzingatia mfumo wa soko huria katika kila tutendalo) hapo ndipo Tanzania inapokua yetu sote. Hii mambo ya kutengeana vyeo ndio inayolea uvivu kazini, kutukuzwa kwa watawala na hatimaye kudidimiza maendeleo ya nchi. Ushindani unatija zake nyingi sana tu.

Hebu tufikirie sana hili.
 
Mkuu Karani wa Baraza la Mawaziri siyo kama makarani wa kikoloni au makarani wa kwenye mashamba ya chai huyu ni Clerk kama Clerk of National Assembly kwa maana nyingine ni katibu

tarishi hana profession .... huu ni utapiamlo wa uongozi
 
Injinia Bashir J. Mrindoko ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Maji. Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mrindoko alikuwa Kamishna wa Nishati na Mafuta ya Petroli.

huu uteuzi kichwa mafuta?? maji akafanye nini injinia huyu maskini???

mkuu inategemeana huyu jamaa ni injinia katika fani gani...kwani kumbuka kuna water resources engineering..ivyo anaeza kua injia wa maji
ni assumptions tu mkuu...

all in all uteuzi wa hawa wakulu umekaa katika dhana ya kufikirika zaidi kuliko dhana ya utaalamu wa muhusika...
 
Back
Top Bottom