Tarehe 04 May?,mwenzetu unaishi sayari gani?Website ya TASAC mpaka leo tarehe 4 May 2021 inaonesha kuwa hao ni wajumbe wa bodi. Rejea linki Wajumbe wa Bodi |Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania na kama ni wastaafu inaonesha jinsi TASAC ilivyo na uzembe katika ku update taarifa zao za mtandaoni na kutia shaka kama kampuni hii ya umma inaweza kuwasiliana na wateja wao ki- dijitali kuendesha shughuli zao kwa ufanishi na kiushindani.
Soma zaidi.
Wasiliana Nasi
Kurasa za Karibu
Tovuti Mashuhuri
Ungana nasi kupitia
2021 TASAC . Haki zote zimehifadhiwa.
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
Source : Wajumbe wa Bodi |Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania