UTENGUZI: Rais Samia awatumbua Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi TASAC, Posta na Posta Masta. Avunja Bodi ya Wakurugenzi Posta

Sure mkuu
Unawaza kama mimi. Kinachobadilishwa mafisadi tu. Badala ya fisadi A anawekwa fisadi B. Mfumo wa uteuzi na utendaji kazi Tanzania unaacha loopholes nyingi sana za upigaji. Bila kufumua system yote na kuifanya ''ufusadi proof'' kwa kadiri inavyowezekana ni kazi bure. Sehemu kama mashirika na taasisi za umma tubadilishe mfumo kabisa. Kwa mfano hawa wanaoitwa mwenyekiti na wajumbe wa bodi ni wa kuondoa na kuweka mfumo wa aina nyingine kwani wao ni moja ya machaka ya upigaji.
 
Nimeona Mkinga tu nikajichekea zangu... afu hadi sasa hivi naandika bado nacheka.... Mzee alikuwa anajimwambafai kumbe fisadi unakaaje vikao zaidi ya 26 na kupokea pesa zisizostahili za posho haramu... Hongera raisi Mwinyi zanzibar kwa kumgutusha Mama yetu alitumua wajumbe kwa vikao haramu... Vikao vya body kwa Mwaka huwa havizidi vinne kwa Mwaka yaani kila Quoter kikao na siku hizi huwa ni Video Conferense tu.
 
Posta ilikua inaendeshwa kihuni sana watu wanapotelewa na mizigo wao hawajali kabisaa...
 
Wacha wasanuke .. Nchi haina maana hii.
Mama kaniongezea tsh 9K ..

Kubabekiii
 
Renatus mkinga yupo! Anavyotoa mishipa kuishauri serikali kwa lazima, alishindwaje kuishauri bodi wakawa weledie?
 
Hapo ukute wajumbe wamesonea History and Literature,hasa huyo mzee Mkinga anaongea hatari pamoja na huyo ustaadh😂😂
Huyo Captain Mussa Mandia ni baharia na ana Masters kutoka World Maritime University. Huyu mzee ni mkongwe alikuwepo tangu Sumatra akiwa kama mkurugenzi wa Marine Safety and Security.

Disertation yake alipokuwa anafanya Masters huko Sweden.

Alitakiwa yeye kwenye body ndio awe mwongozo kwa wakina Mzee Mkinga wajanja wa town.
 
Huyo Captain Mussa Mandia ni baharia na ana Masters kutoka World Maritime University. Huyu mzee ni mkongwe alikuwepo tangu Sumatra akiwa kama mkurugenzi wa Marine Safety and Security.

Disertation yake alipokuwa anafanya Masters huko Sweden.

Alitakiwa yeye kwenye body ndio awe mwongozo kwa wakina Mzee Mkinga wajanja wa town.
Dissertation za uzeeni nazo kazi ndugu! Anawaza pesa ya kustaafu na posho za vikao vya bodi bhaasi. Ubunifu tumewaachia SIDO
 
3 May 2021

Wadau waanika changamoto za forodha, TASAC, TPA na IDCs-bandari Kavu kwa waziri Prof. Kitila


Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo amekutana na wadau wa Bandari kutoka katika sekta binafsi na kuwaeleza kuwa nia ya Serikali ni kuweka mazingira wezeshi na kwamba Serikali haiwezi kushindana na sekta binafsi.

Mawakala 800 wa forodha, wafanyakazi 10,000 wa sekta ya forodha mashakani kuanzia tarehe 15 May 2021 baada ya TASAC kuweka ukiritimba, bandari kavu (IDCs)kama za Kwala, Isaka, Kigoma, Nyanda za Kusini Mbeya zipo tupu, transporters wafunguka mchango wao ktk usafirishaji ikiwa serikali itaweka mazingira rafiki na shindani bandari za Tanzania na TASAC kuvutia wateja toka nchi kama Malawi, Zambia, Burundi , DR Congo waache kutumia bandari za nchi jirani.

Wadau wa huduma walia kuhusu sheria ya kuanzishwa TASAC ibara ya 7 kuwa inaleta ukuritimba bila TASAC kuwajibikaji wakichelewesha huduma :
Section 7(1)(a) of the Tanzania Shipping Agencies Act of 2017 gives exclusive mandate to TASAC Matangazo |Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
Source : mwananchi digital
 

TAARIFA KWA UMMA "IMPLEMENTATION OF EXCLUSIVE MANDATE IN CLEARING AND FORWARDING FUNCTION​

Section 7(1)(a) of the Tanzania Shipping Agencies Act of 2017 gives exclusive mandate to TASAC to carry out clearing and forwarding functions relating to import and export of minerals, mineral concentrates, machineries, equipment, products and/or extracts related to minerals and petroleum, arms and ammunitions, live animals and Government trophies.

On 21st February, 2019 TASAC issued a Public Notice declaring effective date for implementing the above stated mandate under section 7(1)(a) of the Act as being 03rd June, 2019 instead of 04th March, 2019 which was earlier nominated for that purpose. This Public Notice is issued to reiterate and remind stakeholders and the General Public about the effective date of 03rd June, 2019 for implementation of exclusive mandate in clearing and forwarding function relating to specified cargo.

In view of the foregoing, shippers and consignees or their agents are obliged to submit all documents pertinent for clearing and forwarding of import and export cargo specified under Section 7(1)(a) of the Act, which are to be declared to the Commissioner for Customs and Excise effective 03rd June, 2019. The documents should be submitted electronically and in hard copies to the Manager Clearing and Forwarding, TASAC Head Office

Source : Matangazo |Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
 
Back
Top Bottom