Mwenyekiti wa Bodi Prof. Thadeo Andrew Satta.Dr. Tadeo A. Satta is a Professor at The Institute of Finance Management. He is on the Board of Directors at Mwalimu Commercial Bank PLC Mwalimu Commercial Bank Plc (MCB.tz) - AfricanFinancials . He received his MBA from The University of Hull and a doctorate degree from The University of Manchester. https://relationshipscience.com/person/tadeo-andrew-satta-
Kazi imeanza
Shirika limejaa wazee tupu hakuna ubunifuHapo kwenye posta wamenigusa shirika linaendeshwa kizamani sana yani wamekosa kabisa kuendana na teknolojia na hali ya sasa.tatizo lingine wateja kupotelewa na mizigo/parcels zao.
Kazi inaendeleaKazi imeanza
Nchi hii hata ateuliwe malaika, ataiba tu......kinachofanyika ni kubadilisha muonekano wa chupa tu ila mvinyo ni uleule tuHao mpaka wametumbuliwa na mama basi uozo wao ulikuwa hauvumiliki kabisa.
Nilishasema katika vitu Mama hajaniangusha, amerithi kutoka kwa mtangulizi wake ipasavyo ni hii tengua tengua na utumbuaji. Anaitendea haki hii tasnia
Kwa kutucheleweshea angalau katelefoni, dotto mlipa madeni, ripoti za BOT, TPA, na ile tume ya kale ka mafua; mwezi mzima angali anausoma mchezo?
Wajameni, hizi ngoja ngoja haya matumbo kweri yatasalimika?
Kama ni mechi bado yuko nyuma nao kama 3 safi.
Au nasema uongo ndugu zangu?