Tusiweke perception hizo na kama dola wasiruhusu huo uhuni southafrica walichekea mambo hayo sasahivi imekuwa kama gaza bunduki saa zote kila dakika watu wanauana , ila nawaamini sana polisi watanzania huwa makini sana kuliko polisi wa nchi nyingi hapa africaUzuri wa geita na watu wake ukiwakosea watakutafuta popote ulipo ulipie makosa yako. Hapo hakuna udini bali huyo kuna jambo kafanya