Utekaji, Mauaji na Hofu ya Kunyamaza: Taifa Linaangamia Kwa Saikolojia ya Uoga wa Kimfumo

Utekaji, Mauaji na Hofu ya Kunyamaza: Taifa Linaangamia Kwa Saikolojia ya Uoga wa Kimfumo

Prof_Adventure_guide

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2023
Posts
519
Reaction score
1,463
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
 
Kuna sehemu huyu mwanamke anamatatizo makubwa sana.

Tangu awe kiongozi mkuu sijawahi sikia akiongea vitu vya maana juu ya mstakabali wa Taifa zaidi ya michambo na vijembe.

Inaonesha ni jinsi gani anadharau na kibri.

Kama watanzania tukiendelea hivi na kuabudu aina ya mfumo tulionao Taifa litazidi kuwa la kipumbavu.

Hiki kikundi kilichopewa mamlaka ya kutesa na kuua wakosoaji. Muda si mrefu kinaliangamiza Taifa.
 
1000041094.jpg
 
Kuna sehemu huyu mwanamke anamatatizo makubwa sana.

Tangu awe kiongozi mkuu sijawahi sikia akiongea vitu vya maana juu ya mstakabali wa Taifa zaidi ya michambo na vijembe.

Inaonesha ni jinsi gani anadharau na kibri.

Kama watanzania tukiendelea hivi na kuabudu aina ya mfumo tulionao Taifa litazidi kuwa la kipumbavu.

Hiki kikundi kilichopewa mamlaka ya kutesa na kuua wakosoaji. Muda si mrefu kinaliangamiza Taifa.
Vyombo vyetu na mifumo yetu ya kimamlaka hawalitendei haki taifa hatuna budi sie kama wananchi kuwa tayari kwa lolote
 
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
Rubbish
 
Kule chama tawala sio tu wakiweka huyu mama aliyepo hawashindi, hata wakimuweka mwanaume, mwaka 2020 chadema ilishinda kwa kupitia Mmasai lakini kilichotokea!? vuta picha hadi magufuli alishindwa! imajini JWTZ sasa hivi wanaonekana wako kimya, ila kikifika kipindi cha kulinda kura zenu mtakutana nao mtaani, mtakaoenda kulinda hizo kura zenu sie wa no reform no erection/penis, sisi hatutadili nao kabisa, kule kusini walitembeza buti kipindi cha maandamano maana barabara zilichomwa moto, walivyomtangaza wa chama dola eti ndio mshindi (mbunge na raisi).
 
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.📌🔨✌🏿
 
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long

Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
CCM Ni Taasisi Kama Taasisi Nyinginezo.
Ila Sema Madereva Ndo Wamepoteza.
Radha Juu Ya Taasisi Hiyo.
Ila Siku Zote Nguzo Ikidondonka.
Nyumba Ni Ngumu Kuimarika.
Pia Sisi wenyewe Walipa code.
Ushirikiano 0%.
Unafikiri Tutaenda Wapi?
Hivyo Hapa Kuna Budi Ya Kumpa.
Mwenye Ng'ombe Wake Nafasi ya Kutupambania.
Na Kutupa Nguvu Na Maarifa ya kupona Katika Hili.
Atupe Ujasili Wa Kuipasua Bahari Kwa Fimbo ya Mussa.
Na Na Imman Kwa Mpenzi yake Inshaalla Tutashinda.
 
We bwege tuliza hayo makalio, unafikiri ukichanganya hivyo vikiingereza vyako ndio vitabadilisha upumbavu uliouandika? Upumbavu ni upumbavu ht uandike kwa lugha gani. Hakuna nafasi ya kulea upumbavu nchi hii. Huwezi umeshindwa kupata cha kusema uanze kumtukana Rais ili upate attention, uanze uchokonozi, uzushi, uchochezi, upandikizaji na uenezi wa chuki kwa kujificha ndani ya kichaka cha uhuru wa maoni, hayo siyo maoni we kibwengo. Tena serikali yetu inatumia nguvu ndogo sana, kila atakayeendelea na aina yyte ya upumbavu atashughulikiwa ikiwa pamoja na kupotezwa kwa maslahi ya wengi. Ht ww usijifiche na ID feki jitokeze na viinglishi vyako hivyo. Pumbav nchi yetu iko imara hamuwezi kuiyumbisha mambwa koko nyie.


Oneni shetani jingine hili lilichokiandika.

Mleta mada ameleta jambo muhimu sana kwa ustawi na mstakabali wa Taifa letu, hili ambalo ni miongoni mwa hayo mashetani yanayoteka na kuua linamshambulia mleta mada kwa sababu amegusa uhayawani wake.

Shetani Saigilamagema, ulaaniwe wewe na kizazi chako chote. Damu mnazozimwaga kuna siku mtalizilipia. Msijione ni washindi kwa sababu mnaweza kuteka na kuua.
 
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
ubunifu wa porojo nonsense za kupotosha kama hizi haziwezi kuleta changes yoyote gentleman, ni useless 🐒
 
CCM Ni Taasisi Kama Taasisi Nyinginezo.
Ila Sema Madereva Ndo Wamepoteza.
Radha Juu Ya Taasisi Hiyo.
Ila Siku Zote Nguzo Ikidondonka.
Nyumba Ni Ngumu Kuimarika.
Pia Sisi wenyewe Walipa code.
Ushirikiano 0%.
Unafikiri Tutaenda Wapi?
Hivyo Hapa Kuna Budi Ya Kumpa.
Mwenye Ng'ombe Wake Nafasi ya Kutupambania.
Na Kutupa Nguvu Na Maarifa ya kupona Katika Hili.
Atupe Ujasili Wa Kuipasua Bahari Kwa Fimbo ya Mussa.
Na Na Imman Kwa Mpenzi yake Inshaalla Tutashinda.


Hakika nyakati hizo zaja, ambapo watu watasimama dhidi ya watawala mashetani na wafuasi wao, nao hawataamini.
 
Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological entrapment of a nation where fear has become institutionalised.

Hali tuliyonayo sasa ni manifestation ya psychological trauma ya kitaifa – watu wanaogopa hata kuongea, wanaishi kwa tahadhari isiyo na kipimo, na akili zao zimejengwa kwenye msingi wa learned helplessness – ile hali ya mtu kuamini kuwa hawezi kufanya chochote hata kama ana uwezo, kwa sababu kila jaribio la haki huambatana na mateso.

Tunateswa siyo kwa mijeledi tu, bali kwa kuvunjwa kwa fikra zetu. Sauti huru inapotekwa, roho za taifa zinatekwa pamoja nayo. Tunaponyamaza, tunahalalisha ukatili. Tunapotazama watu wakipotea na kusema “sio ndugu yangu,” basi tujiandae kwa siku ambapo itakuwa kweli ni ndugu yetu – halafu tutaishi na mshituko wa maisha yote kwa sababu system yenyewe imeundwa kuwa predatory kwa kila asiyeamini uongo wa chama tawala.

Tunaishi kwenye authoritarian psychodynamic system – mfumo unaotumia hofu, ukimya, propaganda, na mateso ya kisirisiri kuhalalisha utawala wa kimabavu. Hili ni taifa linaloshindwa kusikiliza kilio cha wenye uchungu kwa sababu kilishaambukizwa ugonjwa wa kitaasisi wa kutosikia tena sauti za maumivu. Hii ni clinical silence – kimya chenye sumu ya uhalifu ndani yake.

Wale mnaoshabikia CCM na mnashangilia haya, fahamuni kuwa mnashangilia kaburi lenu wenyewe likichimbwa taratibu. Leo ni sisi tunaosema, kesho ni watoto wenu, keshokutwa ni ninyi wenyewe mtakapokosa pa kukimbilia. Wale mnaopiga kelele kwamba “wanapinga maendeleo,” jaribuni kutenganisha maendeleo ya miundombinu na maendeleo ya utu. Hakuna maendeleo ya kweli pasipo ethical governance and psychological safety.

Tunaitwa wapinzani, wasiotaka amani, wachochezi, lakini ukweli ni kwamba sisi ndio tunapiga kelele kabla taifa halijazikwa rasmi kwenye kaburi la kimya kinachoua roho ya kizazi kizima. Tunapaza sauti kwa sababu bado tuna huruma na taifa letu – unlike wenu mnaotumia uoga kama sera ya utawala.

Tunakemea haya maovu kwa hasira, kwa uchungu, na kwa akili timamu. Hatukubali kupumbazwa na “peace narrative” ya kimamlaka inayotaka tusiseme wakati mateso ni mfumo rasmi wa utawala.

We must deconstruct the architecture of fear and reclaim the dignity of a people silenced for too long.
Sisi ni mateka tusipopata mkombozi hatuwezi kujikomboa. Kwa hali ilivyo ni ama dini iingilie au jeshi lipindue vinginevyo watu watazidi kuuawa na kupotezwa kimya kimya na kikundi cha magaidi.
 
Sisi ni mateka tusipopata mkombozi hatuwezi kujikomboa. Kwa hali ilivyo ni ama dini iingilie au jeshi lipindue vinginevyo watu watazidi kuuawa na kupotezwa kimya kimya na kikundi cha magaidi.
Jeshi lipi? unalozungumzia kwani 2020 lilotumika kuzuia maandamano na kujeruhi raia, wakati wa kutangaza washindi wa mchongo lilikuwa jeshi gani?
 
Back
Top Bottom