Utawala wa Marehemu Magufuli - Blessing in Disguise

Sehemu kubwa ya Africa imekuwa ikiongozwa kwa authorianitism au udikteta tangu uhuru ila bado Africa ni maskini wa kutupwa mpaka leo.
Ndo sasa linganisha hao wengine na miaka mitano ya JPM.

Taifa hili lingefikia hatua gani Kwa miaka kumi Yake ??


Ni Kwa sababuya Falsafa za Xi Jinping , China Sasa ndo Taifa lapili Kwa uchumi Duniani kiasi kwamba wamemzawadia zawadi yakukaa madarakan miaka mingi.


Nchii aitaji viongozi wenye maono, uthubutu ,Maendeleo hayaletwi na wazungu mnaoenda kuwalialia misaada .

Mambo mengi sana Kwa Sasa yamesimama, mengine yamerudi Kule yalikokua.


Ndio maana nasema, ni wajinga wapumbavu, vyeti feki, watumishi hewa, wapigaji, wenye Maisha ya ujanja ujanja na WA aina hiyo ndio pekee wanaweza kudharau kazi alizofanya JPM.


Na JPM anawaumiza sana, kiasi kwamba pamoja nakutangulia kwake, bado mnaumia kuona kwamba kaacha mambo mengi yanayoelezea Dhamira yakeBora Kwa Taifa hili.
 
Hehh! Uko serious kabisa
Bwanae eeehh Muda utasema tu

Siunamacho ??siunamasikio??


Kwamba Sasa hivi mnaambiwa Mungu ndio kafanya uchumi ushuke , kwamba Mungu ndio atatupandisha Tena.


Hamna la maana litakalofanywa na awamu hii ya sita, HAMNA .


kwanza dalili zilishaonesha kitambooo..wafanyabiashara wameshampiga KO, sahizi watu kujiamlia watakavyo .
 
Hata wewe kama una uwezo wa kujifunza kutokana na makosa uliyowahi kuyafanya au makosa waliyofanya wenzako, basi utakuwa mwerevu. Kama hujifunzi chochote, basi umekosa werevu.
Mkuu tatizo letu watanzania tunaamini swala la kutafakari kuwa ni kazi ya intellectuas,

Hii imefanya watu wasitumie hata common sense kwa hofu ya kuwa criticised .matokeo yake viongozi wanafanya madudu then wakiulizwa wanakuja na authoritative reasons na watu hawahoji tena ,

Neno 'mwerevu' umelitumia kirahisi tu lakini mwezio haaminu kama anaweza kuwa hivyo.
 
Zawadi kuu ambayo Magufuli amewaachia watanzania ni uwezo wa kutambua sifa halisi za kiongozi anayefaa kuliongoza Taifa hili.

Udikteta
Ufisadi
Ukabila
Ukanda
Upendeleo
Uongo
Ujinga
Hofu
Mauaji
Utekaji
Matumizi mabaya ya madaraka
 
Nikimueleza katika kweli unawaza alichukiwa.Alikuwa hana kipaji wala uwezo wa uongozi.Alilazimisha mambo tu bora liende.
magufuli hakufanya hila yoyote kuingia madarakani unataka kusema wazee wetu wakina kikwete,mkapa na nec nzima ya ccm ilikosea au unamaanisha hawa wazee wetu ni wapumbavu kumpa uteuzi wa kugombea uraisi 2015
 
Mbona nimekutajia.Au unasoma ya kwako tu?Ramaphosa na Kenyatta.
Kenge kweli wewe , yaan Wakenya wenyewe walitaman JPM awaongoze , alafu Kenyata ndio awe Bora ??


Kenyata na UFISADI wake huo wakifamilia, matatizo walonayo wakenya , unafananisha miaka mitano ya JPM ilivyokua Bora


Wewe ni kenge !!!
 
pamoja na hayo yote ila vitu havikupanda bei licha ya mataifa mukubwa kufunga mipaka yake kipindi cha korona ila sasa mipaka iko wazi na gharama za maisha zimepanda juu huku sababu ya msingi haijawekwa wazi
 
Bwanae eeehh Muda utasema tu

Siunamacho ??siunamasikio??


Kwamba Sasa hivi mnaambiwa Mungu ndio kafanya uchumi ushuke , kwamba Mungu ndio atatupandisha Tena.


Hamna la maana litakalofanywa na awamu hii ya sita, HAMNA .


kwanza dalili zilishaonesha kitambooo..wafanyabiashara wameshampiga KO, sahizi watu kujiamlia watakavyo .
Bwanae eeehh Muda utasema tu

Siunamacho ??siunamasikio??


Kwamba Sasa hivi mnaambiwa Mungu ndio kafanya uchumi ushuke , kwamba Mungu ndio atatupandisha Tena.


Hamna la maana litakalofanywa na awamu hii ya sita, HAMNA .


kwanza dalili zilishaonesha kitambooo..wafanyabiashara wameshampiga KO, sahizi watu kujiamlia watakavyo .
Aisee!
 
Kenge kweli wewe , yaan Wakenya wenyewe walitaman JPM awaongoze , alafu Kenyata ndio awe Bora ??


Kenyata na UFISADI wake huo wakifamilia, matatizo walonayo wakenya , unafananisha miaka mitano ya JPM ilivyokua Bora


Wewe ni kenge !!!
Kuita mtu kenge umeanza kupotoka.Rudi kwenye kuandika vema.Nani alikudanganya Wakenya walimtaka Magufuli?Mara ya kwanza(siku za mwanzomwanzo)aliweza kuteka akili legevu za baadhi ya watu.Hebu leo kawaulize tena.Utamfananisha Kenyatta na Magufuli?
 
Wengi waliumizwa vibaya na utawala wa Marehemu Magufuli. Taifa liliumizwa na utawala wa Magufuli:

1) Katiba iliwekwa kapuni

2) Sheria ziliwekwa jalalani

3) Utekaji, upotezaji na mauaji ya watu walioonekana kuukosoa utawala wake likawa jambo la kawaida (tupo kwenye vita ya uchumi. Atakayekwenda tofauti ni msakiti. Ninyi wanajeshi mnajua msaliti huwa anafanywa nini - Magufuli)

4) Demokrasia ikatupwa chooni (sasa ni wakati wa kujenga nchi. Napiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa - Magufuli)

5) Kesi za kubambika watu ikawa adhabu kwa wale ambao utawala unataka kuwatia adabu (tajiri naweza kumfanya chochote wakati wowote - Magufuli)

6) Uporaji wa pesa za matajiri kikawa chanzo cha mapato ya serikali (DPP ongea na hao tunaowashtaki kwa ujumu uchumi. Wakikubali kutulipa, uwaachie, wakigoma, tena waache wakae huko moja kwa moja - Magufuli)

7) Kuibuka kwa wasaidizi wake majambazi (Sabaya, et al) wakiwa na mamlaka yasiyoguswa na chombo chochote

8) Matumizi ya pesa ya umma yasiyozingatia taratibu (report ya CAG)

9) Ufisadi uliolindwa na dola kwa kuziba midomo ya watu na uhuru wa vyombo vya habari (Magufuli aliiondoa Tanzania kwenye nchi zinazotekeleza mwongozo wa kuendesha Serikali kwa uwazi)

10) Kudororesha mahusiano ya kimataifa kwa ujeuri (vifaranga toka nchi jirani walichomwa, ng'ombe wa wafugaji wa nchi jirani 4,000 walioingia ardhi ya Tanzania walitaifishwa, na Magufuli akasema, Tanzania siyo shamba la bibi. Wiki moja baadaye ng'ombe wa wafugaji wa Tanzania 9,000 walikamatwa ndani ya ardhi ya Kenya, Wakaenya wakawarushia wafugaji wa Tanzania ng'ombea wote, na gavana wa Kenya kutamka kuwa uongozi wa Magufuli ulikuwa ni aibu ya Afrika. Watanzania wanalia, Wakenya wanalia)

11) Kuwajaza watu ujinga kwa propaganda mbalimbali (Magufuli akadai kuwa nchi yetu imekwishakuwa tajiri kiasi cha kuwa donor country, na miradi yote inajengwa kwa pesa zetu)

12) Kuwahadaa watu waamini kuwa mambo makubwa sana na ya pekee yanafanywa na utawala wake wakati mengi ya hayo mambo yalikwishafanywa hata na awamu zilizotangulia (SGR ya TAZARA ilijengwa wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara za lami zenye urefu wa zaidi ya kilometa 12,000 zilijengwa wakati wa Kikwete, wakati wa Magufuli zilijengwa 2,800 tu. Ndege mpya 13 zilinunuliwa wakati wa Nyerere ukilinganisha ndege 8 zilizonunuliwa wakati wake. Daraja la Umoja wakati wa Mkapa, la Kigamboni wakati wa Kikwete, Mabwawa ya umeme ya Mtera, Kigansi, Kidatu, umeme wa gas ilikuwa wakati wa watanguluzi wake; yeye bwawa la Nyerere ikawa kelele kila siku. Vyuo vikuu UDSam, Sokoine, Dodoma; wakati wake hakuna hata kimoja. Hospitali kubwa Muhimbili, Mlaganzila, Taasisi ya Moyo ya Jakaya, Hospitali ya Mkapa; wakati waje hakuna hospitali kubwa hata moja; na mengine mengi, lakini aliwajaza ujinga raia wasio na uelewa waone kuwa watangulizi wake hawakufanya kitu)

13) Utawala wenye viashiria vya upendeleo na ubaguzi na wakati fulani kutamka wazi kabisa kuwa majimbo fulani ya uchaguzi hayatapelekewa maendeleo kwa sababu walichagua wapinzani

14) Kufuta uwepo wa bunge huru la wananchi na kumwagiza spika kuwa awashughulikie wabunge kule ndani kwa kuwatoa nje, halafu nje yeye atawashughulikia.

Kitu kilicho dhahiri ni kwamba Tanzania haijawahi kuwa na katiba nzuri bali ilitegemea hekima ya Rais, akiamua kuwaburuza, hakuna wa kumzuia.

Kuwepo kwa Marais waungwana, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, kuliwafanya watu waamini tuna katiba na sheria nzuri. Rais marehemu Magufuli ndiye aliyewafumbua macho Watanzania waone kuwa tuna katiba mbaya sana na tuna sheria mbaya sana. Hivyo ujio wa Rais Magufuli, pamoja na hasara tuliyoipata, umetusaidia sana kutambua ubovu na ubaya wa katiba na sheria zetu. Hivyo badala ya kuona kuwa utawala wa marehemu ilikuwa ni laana tupu, tushukuru pia kuwa ndio uliowafumbua wengi macho kutambua katiba yetu ni mbovu kiasi gani. Utambuzi huo iwe ni kichocheo kikubwa cha kutaka katiba mpya, siyo kesho wala keshokutwa bali SASA.

Tusipofanya hivyo, utawala wa Samia, kwa sababu na wenyewe umejaa uungwana, utatusahaulisha tatizo la msingi la Taifa letu, ambalo ni KATIBA MBAYA.
Bila kusahau kufumbiwa ufisadi uliofanywa na wateule wake huku wakimsifu kwa kumzuga nao wanapiga.
 
Bwanae eeehh Muda utasema tu

Siunamacho ??siunamasikio??


Kwamba Sasa hivi mnaambiwa Mungu ndio kafanya uchumi ushuke , kwamba Mungu ndio atatupandisha Tena.


Hamna la maana litakalofanywa na awamu hii ya sita, HAMNA .


kwanza dalili zilishaonesha kitambooo..wafanyabiashara wameshampiga KO, sahizi watu kujiamlia watakavyo .
Awamu ya sita haitegemewi kufanya chochote cha kushangaza , kwa sababu inatumia platform ile ile ya mwendazake, kumbuka tuna bunge lisilo na upinzani kwa sababu ya wizi wa 2020

Lakini is by far the best kuliko awamu ya tano, we mwenyewe nadhani ni shahidi ingekuwa awamu ya tano na monitoring ile huku kwa siasa usingekanyaga ungeishua kule kule kwenye kulana kimasihara, kwa wafanya biashara kustawi ninjambo.la priority tu , infact wafanyabiashara ndo life line ya serikali kwa sababu wanalipa kodi , Tra wamefikisha lengo ka makusanyo mwaka huu na haijawai tokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom