GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kwa wengine ni kama mwiko kuwajengea wakwe nyumba.
Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo.
Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako ni wa mkeo vile vile!
Kama wewe na mkeo ni mwili mmoja, inamaanisha hata na wazazi wenu ni wenu sote.
Wewe una mtazamo gani? Utawajengea wakwe zako nyumba?
Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo.
Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako ni wa mkeo vile vile!
Kama wewe na mkeo ni mwili mmoja, inamaanisha hata na wazazi wenu ni wenu sote.
Wewe una mtazamo gani? Utawajengea wakwe zako nyumba?