Utata: Uvamizi wa clouds FM

Utata: Uvamizi wa clouds FM

Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Pengine umesahau kuwa wadhifa wa RC ni mkubwa sana kuliko utangazaji au ukurugenzi wa media.

katika andishi lako unadai kupata video ili ushahidi ukamilike. Je Ile clip haimuoneshi RC akiwa na askari wenye mtutu wakiingia studio za clouse? Pengine unaweza ukajitetea kuwa ni walinzi wake OK. Je RC analindwa zaidi hapa nchini kuliko mkuu wa nchi? Na wapi ulishaona mkuu WA nchi kaongozana na walinzi wenye silaha za dhahiri shahir?

Kwa majibu ya maswali ayo ni wazi utapata kujua adhma ya RC kufika Na mtutu pale haikuwa njema. Na ikiwa RC hakuhusika Na tulio zima (maybe picha za kutengeneza) mbn hakutoa kauli yeyote au kukichukulia hatua xhombo hicho kwa kumchafua yeye Na KITI chake??

Tusitetee maovu kisa kafanya mzazi wako.
 
Ushahidi mkuu nikukaa kimnya kwa mlalamikiwaji.Mana kama uongo kwakuchafuliwa huku angejitokeza kukanusha au kukemea tuhuma dhidi yake.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Nipe maana ya uvamizi?
Naona unatoka mapovu sana.
 
Ushahidi wa video mbona ulikwisha sambaa labda wewe hukufanikiwa kuupata

Au una hoja unayotaka kuianzisha maana hili swala liko wazi kwa aliyelifatilia

Kwa akili ya kawaida tu makonda alikosea
Ile video inaonyesha anaingia ndani ya studio
Haionyeshi kuvamia.
Labda fafanua unaelewa nini kuhusu kuvamia.
 
RC ungejua kabla usinge wagusa wala unga na wauzaji maana wanavokuchukia mpaka inaogopesha
 
What is your point.


Swissme
point yake ni kwamba watu wanatuzuga tatizo ni vita dhidi ya madawa ya kulevya!na kama ni maslahi makubwa wauza madawa wamepenyeza Rupia kumchafua Rc,ushaidi utolewe tumuhukumu mtu sio umbeya wa mtaani wa tanzagiza na gwajima!
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
kwanini Bashite aliikimbia tume iliyoundwa na Nape?

Kwanini Bashite alizuia mkutano wa Nape na waandishi wa habari?

Mwambie bashite tushajua uchafu wake hafai Tena hata kuwa monita wa darasa la sita B.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Kama cctv camera ilionyesha akiingia na kutoka huo ni ushahidi au ushahidi kidogo akili yako haijatulia usifanye mambo kwa uoga kama basata
 
point yake ni kwamba watu wanatuzuga tatizo ni vita dhidi ya madawa ya kulevya!na kama ni maslahi makubwa wauza madawa wamepenyeza Rupia kumchafua Rc,ushaidi utolewe tumuhukumu mtu sio umbeya wa mtaani wa tanzagiza na gwajima!

Madawa ya kulevya ndio mumegeuza kichaka Cha Kujifichia, mnafanya upuuzi halafu mnajifanya tatizo ni Vita ya madawa.

Nani asiyejua Daudi anatumia nafasi yake kuchafua watu kwa chuki binafsi.

Mnatongoza akina Wema na Vanesa wakiwakataa mnawataja kwenye madawa.

Kuweni na aibu.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Mwenyewe unaona umetuletea kitu kiiiippppyaaaaaaa,
Ilishaletwa haa hii topic,
HUko ulikoitoa waambie au waulize watakwambia source ni JF,
 
Madawa ya kulevya ndio mumegeuza kichaka Cha Kujifichia, mnafanya upuuzi halafu mnajifanya tatizo ni Vita ya madawa.

Nani asiyejua Daudi anatumia nafasi yake kuchafua watu kwa chuki binafsi.

Mnatongoza akina Wema na Vanesa wakiwakataa mnawataja kwenye madawa.

Kuweni na aibu.
Kwa hyo una ushahidi amewatongoza wakamkataa?wewe sielewi umeshikiwa akili na nani!
 
...Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media ...

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.



What is your point.


Swissme

swissme: soma hiyo haya ya mwisho ya mleta mada ni jibu swali lako "What is your point" kuhusu tuhuma ya RC Makonda (aya ya kwanza).

Mitandao ya kijamii imetugeuza misukule. Uchafu na uozo wote tunaufakamia.
 
Hakuna utata wowote kila kitu kiko wazi Bashite akiwa na walinzi wa rais wamevamia kituo cha matangazo cha Clouds media wakiwa wamebeba silaha nzito za vita.

Unajifanya kujua ya kuambiwa na kuota ndoto za kumwondoa RC Makonda.
Unaowasema walivamiwa mbona hawajafungua mashitaka kwa ushahidi huo.

Ruge anajua kilichotokea na ndiyo maana, kwa sababu anazozijua, ilichukua siku mbili kutoka hadharani na kudai kituo kimevamiwa. Yumkiniki ni kuvuja kwa 'video clip' ikimwonyesha RC Makonda akiingia kituoni. Na naamini mtumishi wa CLOUDS TV aliyevujisha hiyo 'clip' amekwisha kutumbuliwa wakati RC anachapa kazi.

Daudi Mchambuzi, usijivunjie heshima kwa kushabikia uzushi na udaku huku ukijiita 'mchambuzi'.
 
Kama cctv camera ilionyesha akiingia na kutoka huo ni ushahidi au ushahidi kidogo akili yako haijatulia usifanye mambo kwa uoga kama basata
Ok
Hapo nimekuelewa.
Basi kama kuingia na kutoka ni kosa au ndio kuvamia kwa nini wasipeleke kesi mbele
 
Ile cd aliyopewa waziri inaonesha mambo aliyofanya alipoingia studio, tunasubiri akanushe tumeweke hadharani, hii itakua kama Gwajima ;

"Single touch double manifestation"
Mnasubiri nini sasa?
 
Pengine umesahau kuwa wadhifa wa RC ni mkubwa sana kuliko utangazaji au ukurugenzi wa media.

katika andishi lako unadai kupata video ili ushahidi ukamilike. Je Ile clip haimuoneshi RC akiwa na askari wenye mtutu wakiingia studio za clouse? Pengine unaweza ukajitetea kuwa ni walinzi wake OK. Je RC analindwa zaidi hapa nchini kuliko mkuu wa nchi? Na wapi ulishaona mkuu WA nchi kaongozana na walinzi wenye silaha za dhahiri shahir?

Kwa majibu ya maswali ayo ni wazi utapata kujua adhma ya RC kufika Na mtutu pale haikuwa njema. Na ikiwa RC hakuhusika Na tulio zima (maybe picha za kutengeneza) mbn hakutoa kauli yeyote au kukichukulia hatua xhombo hicho kwa kumchafua yeye Na KITI chake??

Tusitetee maovu kisa kafanya mzazi wako.


Ni chizi pekee atakayekaa kubishana na chizi,

mwerevu akiona chizi anabwabwaja, anacheka na kuondoka zake
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Ulitaka kueleza jambo gani hapa? Kwamba Clouds TV wapeleke ushahidi mahakamani kabla ya shauri kupelekwa mahakamani au ulikusudia nini? Kwamba Clouds TV waanzishe kipindi maalumu, kwa ajili yako wewe, waweke "video" ya tukio zima ili uamini?
 
Back
Top Bottom