Utata: Uvamizi wa clouds FM

Utata: Uvamizi wa clouds FM

Hili liloandika huu uzi litakuwa nyumbu za kijani alimaalufu mbogamboga
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Mbona unajikakamua Sana....Si unye tu yaishe
 
Hili jambo tunalifaham kwamba Makonda na Ruge walikua washatibuana kabla ya hii ishu ya uvamizi. Mfano Ruge anasema stori haikurushwa sababu haikua na balance sababu Gwajima hakupatikana kuelezea upande wake. Lakini tena anasema Gwajima alimpigia simu alhamisi na kipind kilikua ijumaa. Sasa walishindwaje kuibalance hy stori? Kitu kingine kuna stori nyiingi zimekua zikirushwa bila balance kwa kua upande wa pili ulikua haupatikani. So kuna ugomvi ulikuepo kabla ya hii ishu ya uvamizi.
Au la Ruge alikuwa ameshamchoka jamaa na akatumia hiyo ishu kuifanya liwalo na liwe.

Pia Ruge hakuwa tayari kuwasha moto kwa Gwajima na dada yake Mange, maana kusema ukweli kingewaka balaa....so aliweka kwenye mizani akaona ni bora apoteze kwa RC kuliko kule kwingine...ila kusema kubalance stori huyo Sudi brown nadhani ndio anaongoza kwa kutobalance stori...mara kibao anazuga anapiga simu inaitaaaa...alafu ataishia kusema 'umelala' na ndio imetoka.

Ila siungi mkono alichofanya RC, kulazimisha stori itoke ili kumuharibia Mtu ni matumizi mabaya ya madaraka..na alienda mbali kutumia nguvu ya kijeshi...anastahili adhabu kali.
 
Mbona unajikakamua Sana....Si unye tu yaishe

Nikishaona tu mtu anayetukana saana kuliko kujenga hoja namjua huyo ni zero brain, hana uwezo wa kupinga hoja anaishia kuporomosha tu matusi, ndicho pekee kilichojaa kichwan! aseme nn ss🙂
 
Mbona ni kawaida yake kwenda kukesha pale akisimamia propaganda zake, au hulijui kuwa anakwendaga pale tangu enzi na enzi, why iwe siku ile tu kwenda ndo imekuwa hadithi!

Why ushahidi wa uvamizi uwe kwa maelezo wakati tukio zima liko rekoded, au ruge mmeanza kumuamini lini mpaka maelezo yake yatoshe pasiwe na ushahidi wa ziada
Nimekwisha kuelewa unarudisha watu nyuma na hoja ambazo tulikwisha funga huu mjadala wa mkuu wa mkoa

Wenye akili wakashauri aombe msamaha ila hakuomba

Wakategemea rais atamuwajibisha pia haikua hivyo

Nikuweke sawa tena kwa lile la kwenda clouds na style aliyoitumia makonda siku ile alikosea

Usianze kunihadithia hadithi ambazo nina zifahamu sijui kwenda mbona huwa anaenda... najua yote hayo ila unalazimisha kuwa huwa anaenda na walinzi plus silaha, usiku na kuforce urushwaji wa vipindi... jibu ni hapana.... so siku ile alienda kimabavu na bila taarifa wala miadi tena usiku na kuacha sintofahamu kwa walinzi nje na staff wa ndani etc

Ova
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.


Tatizo maGT wameisha humu, hawawez kukuelewa na utaishia kutukanwa tu
 
Hata ukionexhwa iyo full vdeo we n nan ambaye unaweza mpangia Mh JP kaz ya kumuwajbisha RC apo umechemsha ndugu tushakubali kuwa watumwa
 
Labda nikuulize mtoa mada ile ripoti aliyokabidhiwa nape umeiona na kuisoma yote ? Kama hujui kiliandikwa nn mule ndani basi ni vyema ukatulia.

Unaongelea ripoti ile ya iliyoandikwa siku kabla ya Nape kwenda pale na kundi lake au ipi!?
 
Una matatizo ya akili. Ulitaka waonyeshe ushahidi mwingine upi ?
 
Hivi bashite mwenyewe alishawahi kukanusha tukio hilo?kama mwenyewe kakaa kimya wakati anajua kasingiziwa wewe nani ukanushe?
Achane kukuza mambo mtatolewa video Nzima mshindwe la kasema .
Ruge kaamua kumstahi angalau kidogo wewe unakuja kuchongoa mdomo hapa
 
Kama hujui kujenga hoja kaa kimya.
umetuletea upupu toka kwa Bashite tumeurudisha wote kwako na kwake.

Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
 
Vyeti ni issue inayojitegemea ambayo Ikulu imekinga kifua na Mgongo.
weka vyeti mezani ili mzizi wa fitna ukatwe.

Mkaanga Ubuyu wa vyeti ni Mtukufu Rais mwenyewe kwa hiyo ni lazima autafune
 
Back
Top Bottom