Utata: Uvamizi wa clouds FM

Utata: Uvamizi wa clouds FM

Hili jambo tunalifaham kwamba Makonda na Ruge walikua washatibuana kabla ya hii ishu ya uvamizi. Mfano Ruge anasema stori haikurushwa sababu haikua na balance sababu Gwajima hakupatikana kuelezea upande wake. Lakini tena anasema Gwajima alimpigia simu alhamisi na kipind kilikua ijumaa. Sasa walishindwaje kuibalance hy stori? Kitu kingine kuna stori nyiingi zimekua zikirushwa bila balance kwa kua upande wa pili ulikua haupatikani. So kuna ugomvi ulikuepo kabla ya hii ishu ya uvamizi.
 
Ile cd aliyopewa waziri inaonesha mambo aliyofanya alipoingia studio, tunasubiri akanushe tumeweke hadharani, hii itakua kama Gwajima ;

"Single touch double manifestation"
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Kojoa ukalale ww
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Kojoa ukalale ww
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Ni kama kuna ka ukweli vilee!
 
Mtoa mada kasema kuwa, kwanini clip ya uvamizi ioneshe kifupi sana, tena ni tendo la kuingia peke yake wakati sec cam hazikuzimwa?
Kwanini hawakuonesha mkanda mzima wa uvamizi wanaoudai walifanyiwa? Kuna kitu gani kilichowakataza kutuonesha a-z ya kisa kizima kitumike kama kielelezo mahakamani, badala yake wakaishia kuonesha tendo la kuingia peke yake? Ndiyo point ya msingi ya mtoa mada.
Clips zote wakati anaingia na wakati anatoka zipo na nimefanikiwa kuziangalia

Hoja unayotaka kuijenga nadhani cha kwanza ni kwa sababu hujaziona video clips zingine ukiachilia ile anayoingia ndani ambayo ndiyo iliyosambaa sana

Swala la msingi hapa ni kuelewa tu makonda aliingia ofisi za watu bila kufuata utaratibu pia akiwa na walinzi kadhaa wenye silaha kibaya zaidi muda alioenda ni usiku na akaingilia utaratibu wa uendeshaji wa vipindi

Ruge mutahaba kaelezea vizuri tukio zima na hata kuhusu mawasiliano ya simu kati yake na mkuu wa mkoa

Nakushauri ingia YouTube utapata videos za ruge akiwa clouds 360 akilelezea

Sijajua unataka kutetea kipi hapo

Katika akili ndogo tu mkuu wa mkoa huyo alikosea
 
Hii ndo shida ya waTZ, mnapenda kukurupukia mambo bila hata kujua mantiki ya jambo. Na ndo maana daily tunaendeshwa na matukio tena mengine hayana hata msingi,

Video ya RC akivamia kituo cha habari ipo, why haiwekwi mitandaoni ikaonekana instead inaonekana nusunusu

unless nao clouds wana agenda ya siri ya kuonyesha huko nusutukio, otherwise RC asingekuwepo alipo leo kwa sbb ushahidi wa uovu upo, why waliofanyiwa uovu hauweki hadharan???????????????????????
wewe ni BASHITE
 
Tatizo watu wakisikia kitu kinaitwa CCTV basi akili zinawaruka. Huo wanaouita ushahidi wa Makonda kuvamia Clouds katika clip iyosambaa mitandaoni sidhani kama hata kuna hakimu au jaji anaweza akairudia kuitazama mara mbili ili kuthibitisha kuwa Clouds ilivamiwa. Ile clip haina tukio lolote linaloitwa uvamizi labda kama kuna clip nyingine itakayoonyesha tukio la uvamizi. Ila kwa ile clip ni sawa na sinema ya watoto wa kihindi.
 
Unataka uzione ili iweje?

Nikupe mfano rahisi ukimchania binti chupi kwa lengo la kubaka hiyotayari ni kesi ya kubaka huhitaji video inayoonyesha umeingiza uume.

Hivyo kitendo cha kuonekana kaingia tu na watu wenye silaha nikosa.

Unatafuta kujua nini zaidi ya hapo?

Bora ungelala
 
Kama kuna watu wana clip hzo za ziada si warushe humu tuone tuwanyamazishe hao wanaomtetea mkuu wa mkoa otherwise wana point ya msingi... tusitumie maneno tuweke vitendo ubishi wa kusema sjui kojoa kalale mara we ndo wale wale mara luge alielezea kila kitu haina maana mpe clips ajiridhishe kama zipo. Kuna mwengine pia katoa maelezo mazur tu kuna habar huwa znatolewa na hazija balance mara nyingi kipind kile kinarusha stry afu unakuta hapo hapo ndo wanamtafta mhusika bila hata kumpa taarifa mfano ile ya joti na ishu ya young dee kuzaa na mdada na kumkataa.
Sasa walimpata gwajima on thursday via phone tena hayo mahojiano luge anasema mchungaj ndo alimpigia kwamba kaskia ishu iliyopo meaning kuna mtu alimtonya... anaebisha aseme nitafte clip ni post hiko kijipande
 
Wakuwekee wewe clip yenye ushahidi wote. Wewe ni mahakama?

Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
 
Clips zote wakati anaingia na wakati anatoka zipo na nimefanikiwa kuziangalia

Hoja unayotaka kuijenga nadhani cha kwanza ni kwa sababu hujaziona video clips zingine ukiachilia ile anayoingia ndani ambayo ndiyo iliyosambaa sana

Swala la msingi hapa ni kuelewa tu makonda aliingia ofisi za watu bila kufuata utaratibu pia akiwa na walinzi kadhaa wenye silaha kibaya zaidi muda alioenda ni usiku na akaingilia utaratibu wa uendeshaji wa vipindi

Ruge mutahaba kaelezea vizuri tukio zima na hata kuhusu mawasiliano ya simu kati yake na mkuu wa mkoa

Nakushauri ingia YouTube utapata videos za ruge akiwa clouds 360 akilelezea

Sijajua unataka kutetea kipi hapo

Katika akili ndogo tu mkuu wa mkoa huyo alikosea


Mbona ni kawaida yake kwenda kukesha pale akisimamia propaganda zake, au hulijui kuwa anakwendaga pale tangu enzi na enzi, why iwe siku ile tu kwenda ndo imekuwa hadithi!

Why ushahidi wa uvamizi uwe kwa maelezo wakati tukio zima liko rekoded, au ruge mmeanza kumuamini lini mpaka maelezo yake yatoshe pasiwe na ushahidi wa ziada
 
Back
Top Bottom