msebia
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 467
- 352
Staki kuamini kama wewe ni binadamu kama sisi kama ungekuwa basi usingekuwa na mawazo mgando kama uliyonayo,Hahaahaaa,
yaan mkiishiwaga cha kuongea mnakuwaga wadogo kinoma,
kwa ufikirio wako yule aliyeonyekana kwenye ile clip ya cctv hakuwa Makonda alikuwa ni mtu kavalishwa sura ya Makonda c eti?
Hongera kwa akili finyu kama 0.....