Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Mkuu The Bold
Samahani Sana Sijajua Kwenye Hizi Dini Zetu Upo Upande Upi Japo Nimewaza Kupitia Kipaji Chako Ikikupendeza Sana


Ninaomba Utuletee Makala Inayohusu Nchi Hizi Za Israel,Misri,Jordan, Palestine, Kote Ambapo Maisha Ama History Inamtaja Yesu
Japo Makala Hiyo Iwekwe Jukwaa Hili
Ni poa lakini kama wewe muumini wa dini ya kristo ungesoma bibblia mkuu kila kitu kipo mule .
 
Mkuu The bold naona hata wale mahasimu wako wa Korea Kaskazini hapa wamekuwa wapole sana, hahahahahaha.
Mkuu heshima zikurudie kwa kazi unazofanya kwa nguvu zote. Mi nasubiri muendelezo tu kaka mkubwa...!!!
 
Mkuu The bold naona hata wale mahasimu wako wa Korea Kaskazini hapa wamekuwa wapole sana, hahahahahaha.
Mkuu heshima zikurudie kwa kazi unazofanya kwa nguvu zote. Mi nasubiri muendelezo tu kaka mkubwa...!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama mdunguaji alidungua kutokea nyuma ya msafara, inawezekenaje kipande cha fuvu kirukie nyuma ya gari. Kama hixo video clips ni hali basi sina shaka yeyote kusema kuwa Oswald hakuhusika na kifo cha Kennedy. Mimi ningeanza na Polisi aliyekwenda kumkamata Oswald Kyle ofisini kwake pia na Yule Katibu sijui mshauri wake wa uteuzi na kikosi chote cha ulinzi wa rais kilichokuwepo pale hospital
 
Kama mdunguaji alidungua kutokea nyuma ya msafara, inawezekenaje kipande cha fuvu kirukie nyuma ya gari. Kama hixo video clips ni hali basi sina shaka yeyote kusema kuwa Oswald hakuhusika na kifo cha Kennedy. Mimi ningeanza na Polisi aliyekwenda kumkamata Oswald Kyle ofisini kwake pia na Yule Katibu sijui mshauri wake wa uteuzi na kikosi chote cha ulinzi wa rais kilichokuwepo pale hospital
Umetoa wazo mujarab, Oswald alionewa tu maana jengo alilokuwepo lilikuwa nyuma ya gari la JFK.
 
Kama mdunguaji alidungua kutokea nyuma ya msafara, inawezekenaje kipande cha fuvu kirukie nyuma ya gari. Kama hixo video clips ni hali basi sina shaka yeyote kusema kuwa Oswald hakuhusika na kifo cha Kennedy. Mimi ningeanza na Polisi aliyekwenda kumkamata Oswald Kyle ofisini kwake pia na Yule Katibu sijui mshauri wake wa uteuzi na kikosi chote cha ulinzi wa rais kilichokuwepo pale hospital
"Braza" hili tukio lilipangwa na hata matukio yaliyofuata yalipangwa...

Jambo hili hata mtu wa "kawaida" tu anaweza kulielewa siyo mpaka awe amepitia pitia haya mambo ya kijasusi....
 
Mkuu naomba sana uelezee kuhusu kifo cha lady Diana, Princess of Wales (Diana Frances; née Spencer ; 1 July 1961 – 31 August 1997) the first wife of
Charles, Prince of Wales ,
Sawa mkuu!! Nafanyia kazi..
 
Mkuu The Bold
Samahani Sana Sijajua Kwenye Hizi Dini Zetu Upo Upande Upi Japo Nimewaza Kupitia Kipaji Chako Ikikupendeza Sana


Ninaomba Utuletee Makala Inayohusu Nchi Hizi Za Israel,Misri,Jordan, Palestine, Kote Ambapo Maisha Ama History Inamtaja Yesu
Japo Makala Hiyo Iwekwe Jukwaa Hili
Mimi ni Muislamu lakini nimesoma Divinity (bible knowledge) kuanzia form one mpaka Chuo... So naelewa sana ukristo na nauhesgimu sana pia... That's why watu wanaulizaga "bold na nifah mtanfanyaje kwenye harusi coz mko dini tofauti??" Hahahah wengi wanadhani I'm a Christian... Ila ni kwamba naulewa kiundani na nauheshimu sana


Kuhusu ombi la makala sawa mkuu... Nafanyia kazi
 
Back
Top Bottom