Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,757
- Thread starter
- #521
Karibu sana mkuu Tarime onePamoja mkuu,nimeanza mwanzo ndio namaliza sasa,thanks mkuu THE BOLD.
Karibu sana mkuu Tarime onePamoja mkuu,nimeanza mwanzo ndio namaliza sasa,thanks mkuu THE BOLD.
Sawa mkuu... Tayari nimekuongeza kwa taglistNifanyie hisani nami unitag mkuu wangu The bold
Ahsante mkuu,nashukuru sana kwa mada zako mujarabu,naamini tuko pamoja na tutakutana kule soon[emoji120] [emoji120] [emoji120]Karibu sana mkuu Tarime one
Karibu sana mkuu..Ahsante mkuu,nashukuru sana kwa mada zako mujarabu,naamini tuko pamoja na tutakutana kule soon[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Mkuu naomba uniongezamo humo, siwezi pitwa na hii kitu, ni zaidi ya movieSawa mkuu... Tayari nimekuongeza kwa taglist
The bold ningependa kujua hitima yako wewe nawanaoghushi story hzi zimefikia wapi mpaka ujatoa Hii story, by the way am a great funn of ur stories keep it upSiku mbili zijazo itakuwa hewani..
Mkuu,The bold ningependa kujua hitima yako wewe nawanaoghushi story hzi zimefikia wapi mpaka ujatoa Hii story, by the way am a great funn of ur stories keep it up
Sawa mkuu! Nitafanyia kazi hili suala...Nashukuru ndugu kwa uchambuzi huu ambao binafsi kifo cha huyu rais ni kitata sana na nmekua nafatilia
Pia naomba kama itakua poa ujarib pia kuleta uchambuz kuhusu familia ya kennedy nilikua naangalia makala flani baada ya kifo chake miaka michache badae familia yake walikua wanakufa vifo vya utata
Poa kiongoziSawa mkuu! Nitafanyia kazi hili suala...
Duuhh uyo. Kennedy alitoa siri nn za USA ???. Mpaka familia yake aisseh ..Nashukuru ndugu kwa uchambuzi huu ambao binafsi kifo cha huyu rais ni kitata sana na nmekua nafatilia
Pia naomba kama itakua poa ujarib pia kuleta uchambuz kuhusu familia ya kennedy nilikua naangalia makala flani baada ya kifo chake miaka michache badae familia yake walikua wanakufa vifo vya utata
Mkuu naomba sana uelezee kuhusu kifo cha lady Diana, Princess of Wales (Diana Frances; née Spencer ; 1 July 1961 – 31 August 1997) the first wife ofSawa mkuu! Nitafanyia kazi hili suala...
Mkuu naomba sana uelezee kuhusu kifo cha lady Diana, Princess of Wales (Diana Frances; née Spencer ; 1 July 1961 – 31 August 1997) the first wife of
Charles, Prince of Wales ,
Mkuu The BoldPamoja sana chief..