middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,309
- 1,695
Nasubiria aiseeh
Nasikia jina lako ni Abdallah[emoji4] [emoji4] [emoji4] (jokes)Mimi ni Muislamu lakini nimesoma Divinity (bible knowledge) kuanzia form one mpaka Chuo... So naelewa sana ukristo na nauhesgimu sana pia... That's why watu wanaulizaga "bold na nifah mtanfanyaje kwenye harusi coz mko dini tofauti??" Hahahah wengi wanadhani I'm a Christian... Ila ni kwamba naulewa kiundani na nauheshimu sana
Kuhusu ombi la makala sawa mkuu... Nafanyia kazi
Bold ungeweza kuiweka ktk mfumo wa video yani kama kafilam flan hivi, tz ndo ingekua movie ya millennium kutengenezwa na mswahili.
Weka alarm mkuu, maana naona hutaki kupitwa!Bado tu
kwa sababu utawai kuuza nchi.Wai mbona aiendelei?