Utaratibu wa ulipaji ada shuleni

richgwami

New Member
Sep 16, 2021
1
2
Habari wana JamiiForums...

Naomba maoni na ufafanuzi kwa wale wenye kufaham hili swala ada za shule. Namaanisha hivi mtoto anapokuwa shule mzazi analipa ada kwa awamu au installment sasa inapotokea mzazi amechelewa kulipa ada mara nyingi tunaona mtoto anarudishwa nyumban. Lakin kwa fikra zangu ndogo naona kama si sawa jaman.

Mana hata baada ya mtoto kurudi nyumban akikaa hata miez miwil siku akirudi shule unakuta ada inayodaiwa ni ile ile including zile siku ambazo hakuhudhuria masomo.

Najiuliza kwann mtoto arudishwe nyumban na bado ada idaiwe ? Nilidhan anatakiwa kulipa kwa kipind ambacho atarud darasan. Maana elimu ni service kama service nyingine za jamii mfano maji.

Sijawah kuona et dawasa wakate maji sabab wanakudai halaf siku ukija kulipa wakwambie na kile kipind tulikata maji pia unatakiwa ulipe wakat maji hukua unatumia.

Kwa upande wa shuke ikitokea mfano mtoto karudishwa nyumban mwezi wa 3 na mzaz hakupata ada hadi mwez wa 9.

Inakuaje mzaz anakua bado anadaiwa ada ya toka mwez wa tatu wakat mwanae hakufundishwa hyo ada ya mwezi wa tatu had tisa analipa kwasabab gani.

Tupeane elimu wakuu.

NAWASILISHA HOJA
 
Anadaiwa kwa sababu Mzazi unakuwa umeingia mkataba na shule kwa niaba ya mtoto kulipa ada pamoja na michango mingine ya shule na fomu hiyo unasign wewe hivyo ni wajibu wako kulipa hizo installment ni kukusaidia tu kupunguza kidogokidgo hadi unajikuta umemaliza.
 
Inatakiwa mzazi ajenge urafiki na shule husika, na aeleze changamoto alizonazo
 
Shule za serikali zinatoa elimu bila malipo kuanzia chekechea mpaka kidato cha nne

Huko kwenye kulipia ada umelazimishwa?, kama huwezi kulipia ada mpeleke mwanao public school ili apate haki yake
 
Mpeleke mtoto shule ya kistaarabu. Achana na hizo shule janja janja! Kuna baadhi ya shule ziko poa sana. Wanakupigia simu, unawaeleza hali halisi; wanakuelewa, pasipo kumbughudhi mtoto! Ukipata unamalizia deni.
 
Habari wana JamiiForums...

Naomba maoni na ufafanuzi kwa wale wenye kufaham hili swala ada za shule. Namaanisha hivi mtoto anapokuwa shule mzazi analipa ada kwa awamu au installment sasa inapotokea mzazi amechelewa kulipa ada mara nyingi tunaona mtoto anarudishwa nyumban. Lakin kwa fikra zangu ndogo naona kama si sawa jaman.

Mana hata baada ya mtoto kurudi nyumban akikaa hata miez miwil siku akirudi shule unakuta ada inayodaiwa ni ile ile including zile siku ambazo hakuhudhuria masomo.

Najiuliza kwann mtoto arudishwe nyumban na bado ada idaiwe ? Nilidhan anatakiwa kulipa kwa kipind ambacho atarud darasan. Maana elimu ni service kama service nyingine za jamii mfano maji.

Sijawah kuona et dawasa wakate maji sabab wanakudai halaf siku ukija kulipa wakwambie na kile kipind tulikata maji pia unatakiwa ulipe wakat maji hukua unatumia.

Kwa upande wa shuke ikitokea mfano mtoto karudishwa nyumban mwezi wa 3 na mzaz hakupata ada hadi mwez wa 9.

Inakuaje mzaz anakua bado anadaiwa ada ya toka mwez wa tatu wakat mwanae hakufundishwa hyo ada ya mwezi wa tatu had tisa analipa kwasabab gani.

Tupeane elimu wakuu.

NAWASILISHA HOJA
Mtoto hatakiwi kubughudhiwa,anauedaiwa ada ni mzazi .Mzazi abanwe yeye na siyo mtoto.Kumsumbua mtoto ni torture haifai.
 
Elimu ni gharama lipa ada kama huwezi elimu ni bure mpeleke mtoto ila uko kwenye bure Kuna michango ya chakula, ulinzi umeona lite hela uko😂😂😂
 
Back
Top Bottom