Huu Mchango wa Uendeshaji wa Shule ya Longido Sekondari si ndio ada yenyewe au Serikali imefuta ada ipi?

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Jamani wazazi tunalia na michango ya Shule ngazi ya kidato cha tano, Serikali imetangaza kufuta ada kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita kwa shule za Serikali lakini tunachokutana nacho huku kwenye uhalisia ni tofauti.

Tunaambiwa ada imefutwa lakini katika masharti au form za Watoto kujiunga na masomo katika ngazi ya Kidato cha tano tunaambiwa kila Mwanafunzi anatakiwa kulipa Tsh 65,000 ikiwa ni “Mchango wa Uendeshaji wa Shule”, malipo ambayo yanatakiwa kufanyika katika akaunti ya Shule husika

Kiango hicho ni mbali na malipo mengine madogomadogo kama nilivyoambatanisha kwenye hizo form.

Tunaomba Serikali imulike Shule ya Sekondari Longido Mkoani Arusha au iwekwe wazi ili Serikali nayo itoe msimamo wake kuwa ada zimefutwa au la? Au zimefutwa lakini zinarejeshwa kwa njia nyingine?

LONGIDO-SEC.-FORM-FIVE-JOIN-INSTRUCTION-2023.2024(0)_page-0002.jpg

LONGIDO-SEC.-FORM-FIVE-JOIN-INSTRUCTION-2023.2024(0)_page-0003.jpg

LONGIDO-SEC.-FORM-FIVE-JOIN-INSTRUCTION-2023.2024(0)_page-0004.jpg

UPDATES...

Kamishna wa Elimu Dkt. Lyabwene Mtahabwa,
anafafanua:
Tumeshatoa waraka kuandikia wote, michango ni hiyari, hivyo unatakiwa kuuliza shule husika, ukifuatilia kama kuna michango ya ziada inamaanisha Shule imekaa na wazazi wakakubaliana na suala la mchango husika.

Kama mzazi anaweza kuacha kuchangia kwa kuwa sio lazima na akiwa hana anaweza kuzungumza na shule husika wakaelewana.

Taarifa ya Mwalimu Mkuu wa Longido, inafafanuzi:
“Hicho kiwango (Tsh. 65,000) kipo lakini kiwango hicho kimepitishwa na TAMISEMI na wanakifahamu, kuna maelekezo rasmi kuwa kuna kiwango fulani hakitakiwi kuvukwa.

“Kama kuna mzazi ambaye anaona kuna jambo halipo sawa, anaruhusiwa kuuliza kwa kuwa form ya kujiunga na Kidato cha Tano ina namba zote za Walimu wanaohusika.

“Hakuna nafasi ya kumuelekeza mzazi mmojammoja kwa kuwa tayari form zipo kwenye tovuti ya shule na maelekzo hayo.

Kwa ufupi hatujaongeza kitu kutoka katika utaratibu au muongozo uliotolewa na TAMISEMI, tulichobadilisha pale labda ni jina la Shule na sare.”
 
Zunguka ulimwengu wote huu hakuna pahala popote,,katika nchi yoyote ile Elimu ni bure,,Elimu ni gharama ,,,na lazima ugharamike tuu iwe ni wewe mwenyewe au kwa kumwezesha mtu/watu kuipata!!
Unachosema ni sahihi na hata mimi nalitambua hilo, lakini ni vema wangetangaza tu Ada ipo ili kufupisha mambo badala ya kuweka list ndefu ya mahitaji na kuitengeneza Ada katika majina mengine.
 
Mdau chukua fomu ya kabla ya elimu bure lingamisha na hiyo.

Serikali imelipa ada sh. 70,000 tu nyingine utalipa.

Nimekagua fomu za shule nyingi zina huo mchango anaosema mdau.
 
Zunguka ulimwengu wote huu hakuna pahala popote,,katika nchi yoyote ile Elimu ni bure,,Elimu ni gharama ,,,na lazima ugharamike tuu iwe ni wewe mwenyewe au kwa kumwezesha mtu/watu kuipata!!
Naunga mkono hoja
 
Zunguka ulimwengu wote huu hakuna pahala popote,,katika nchi yoyote ile Elimu ni bure,,Elimu ni gharama ,,,na lazima ugharamike tuu iwe ni wewe mwenyewe au kwa kumwezesha mtu/watu kuipata!!
ccm wanawahadaa watanzania elimu bure hakuna cha bure,yaani nikwa shule zote
 
Jamani wazazi tunalia na michango ya Shule ngazi ya kidato cha tano, Serikali imetangaza kufuta ada kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita kwa shule za Serikali lakini tunachokutana nacho huku kwenye uhalisia ni tofauti.

Tunaambiwa ada imefutwa lakini katika masharti au form za Watoto kujiunga na masomo katika ngazi ya Kidato cha tano tunaambiwa kila Mwanafunzi anatakiwa kulipa Tsh 65,000 ikiwa ni “Mchango wa Uendeshaji wa Shule”, malipo ambayo yanatakiwa kufanyika katika akaunti ya Shule husika

Kiango hicho ni mbali na malipo mengine madogomadogo kama nilivyoambatanisha kwenye hizo form.

Tunaomba Serikali imulike Shule ya Sekondari Longido Mkoani Arusha au iwekwe wazi ili Serikali nayo itoe msimamo wake kuwa ada zimefutwa au la? Au zimefutwa lakini zinarejeshwa kwa njia nyingine?


UPDATES...

Kamishna wa Elimu Dkt. Lyabwene Mtahabwa,
anafafanua:
Tumeshatoa waraka kuandikia wote, michango ni hiyari, hivyo unatakiwa kuuliza shule husika, ukifuatilia kama kuna michango ya ziada inamaanisha Shule imekaa na wazazi wakakubaliana na suala la mchango husika.

Kama mzazi anaweza kuacha kuchangia kwa kuwa sio lazima na akiwa hana anaweza kuzungumza na shule husika wakaelewana.

Taarifa ya Mwalimu Mkuu wa Longido, inafafanuzi:
“Hicho kiwango (Tsh. 65,000) kipo lakini kiwango hicho kimepitishwa na TAMISEMI na wanakifahamu, kuna maelekezo rasmi kuwa kuna kiwango fulani hakitakiwi kuvukwa.

“Kama kuna mzazi ambaye anaona kuna jambo halipo sawa, anaruhusiwa kuuliza kwa kuwa form ya kujiunga na Kidato cha Tano ina namba zote za Walimu wanaohusika.

“Hakuna nafasi ya kumuelekeza mzazi mmojammoja kwa kuwa tayari form zipo kwenye tovuti ya shule na maelekzo hayo.

Kwa ufupi hatujaongeza kitu kutoka katika utaratibu au muongozo uliotolewa na TAMISEMI, tulichobadilisha pale labda ni jina la Shule na sare.”
Sasa ww mzazi kama zezeta vile alfu 80 nayo unakuja kutupigia kelele za kingese hivi. Hao wanaowaambia msitoe michango watoto wao wanasoma shule za over 15m kwa mwaka acheni ujinga umezaa toto unataka likasomeshwebna nanu kaza traaaaak ulipe ada usitafute huruma za wanajamii
 
Jamani wazazi tunalia na michango ya Shule ngazi ya kidato cha tano, Serikali imetangaza kufuta ada kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita kwa shule za Serikali lakini tunachokutana nacho huku kwenye uhalisia ni tofauti.

Tunaambiwa ada imefutwa lakini katika masharti au form za Watoto kujiunga na masomo katika ngazi ya Kidato cha tano tunaambiwa kila Mwanafunzi anatakiwa kulipa Tsh 65,000 ikiwa ni “Mchango wa Uendeshaji wa Shule”, malipo ambayo yanatakiwa kufanyika katika akaunti ya Shule husika

Kiango hicho ni mbali na malipo mengine madogomadogo kama nilivyoambatanisha kwenye hizo form.

Tunaomba Serikali imulike Shule ya Sekondari Longido Mkoani Arusha au iwekwe wazi ili Serikali nayo itoe msimamo wake kuwa ada zimefutwa au la? Au zimefutwa lakini zinarejeshwa kwa njia nyingine?


UPDATES...

Kamishna wa Elimu Dkt. Lyabwene Mtahabwa,
anafafanua:
Tumeshatoa waraka kuandikia wote, michango ni hiyari, hivyo unatakiwa kuuliza shule husika, ukifuatilia kama kuna michango ya ziada inamaanisha Shule imekaa na wazazi wakakubaliana na suala la mchango husika.

Kama mzazi anaweza kuacha kuchangia kwa kuwa sio lazima na akiwa hana anaweza kuzungumza na shule husika wakaelewana.

Taarifa ya Mwalimu Mkuu wa Longido, inafafanuzi:
“Hicho kiwango (Tsh. 65,000) kipo lakini kiwango hicho kimepitishwa na TAMISEMI na wanakifahamu, kuna maelekezo rasmi kuwa kuna kiwango fulani hakitakiwi kuvukwa.

“Kama kuna mzazi ambaye anaona kuna jambo halipo sawa, anaruhusiwa kuuliza kwa kuwa form ya kujiunga na Kidato cha Tano ina namba zote za Walimu wanaohusika.

“Hakuna nafasi ya kumuelekeza mzazi mmojammoja kwa kuwa tayari form zipo kwenye tovuti ya shule na maelekzo hayo.

Kwa ufupi hatujaongeza kitu kutoka katika utaratibu au muongozo uliotolewa na TAMISEMI, tulichobadilisha pale labda ni jina la Shule na sare.”
Basi waseme hiyo 65,000 ndio ada kama wameruhusu
 
Back
Top Bottom