Utaratibu wa kwenda kusikiliza kesi ya Lissu, 24.04.2025

Utaratibu wa kwenda kusikiliza kesi ya Lissu, 24.04.2025

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
546
Reaction score
1,114
Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao.
1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini.

2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda.

3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa ujumla.

*Tutakuwa tukiimba"Freedom is coming tomorrow"

NB:- Kamwe usichukue silaha yoyote ile, maana hatuendi vitani. Twende kwa amani na kurudi kwa amani.
Freedom is coming tomorrow.
 
Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao.
1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini.

2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda.

3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa ujumla.

*Tutakuwa tukiimba"Freedom is coming tomorrow"

NB:- Kamwe usichukue silaha yoyote ile, maana hatuendi vitani. Twende kwa amani na kurudi kwa amani.
Freedom is coming tomorrow.
Nitakuwepo kwa vyoyote.
 
Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao.
1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini.

2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda.

3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa ujumla.

*Tutakuwa tukiimba"Freedom is coming tomorrow"

NB:- Kamwe usichukue silaha yoyote ile, maana hatuendi vitani. Twende kwa amani na kurudi kwa amani.
Freedom is coming tomorrow.
Umeongea ukweli mtupu hapo polisi wakiona Viongozi wa Dini hasa Maskofu lazima waufyate
kama vile mbwa anavyouchukuaga mkiya wake halafu anausokomeza huku uvunguni mwa makalio yake 🐕
 
Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao.
1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini.

2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda.

3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa ujumla.

*Tutakuwa tukiimba"Freedom is coming tomorrow"

NB:- Kamwe usichukue silaha yoyote ile, maana hatuendi vitani. Twende kwa amani na kurudi kwa amani.
Freedom is coming tomorrow.
kwakuwa umeweka ratiba hayo ni maandamano kisheria na yanapaswa kuwa na kibali hunabutakamatwa utaenda kumsongea ugali lissu ukonga
 
  • Thanks
Reactions: Tui
heche aje na nguo za kubadisha kabisa baada ya maandamano atatangulia keko
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nina wasiwasi kutokana na muitikio wa wapenda haki kuwa wengi ,matamko ya kulaani kesi hii ya kubumba ya ndani na nje ya nchi wawakilishi wa jumuiya za kimataifa kutinga hapo
IMG-20241220-WA0000.jpg
mahakamani policcm kupitia magereza watasema gari iliyotakiwa kumleta ina changamoto.
 
Dah ukiona tambo za kwenye JF utafikiri kweli watatoka kuandamana. Kumbe vikunguru tu.Kelele nyingi kwenye mitandao.
 
kwasasa chadema hawana organized command, zimebaki juhudi binafsi za mtu mmoja mmoja, na kuhusu funding sidhani kama wana propper source of finance, kimsingi its a last kick of a dying horse
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nina wasiwasi kutokana na muitikio wa wapenda haki kuwa wengi ,matamko ya kulaani kesi hii ya kubumba ya ndani na nje ya nchi wawakilishi wa jumuiya za kimataifa kutinga hapo View attachment 3310982 mahakamani policcm kupitia magereza watasema gari iliyotakiwa kumleta ina changamoto.
Dawa ya tatizo siyo kuahirisha ila ni kutatia kwa uhakika na sii kichawa.
 
Dawa ya tatizo siyo kuahirisha ila ni kutatia kwa uhakika na sii kichawa.
Mimi nataka kesi iwepo kaburu mwanamke ataenda kupata aibu ya mwaka.

Ukiona nguvu kubwa ya kuzuia watu kwenda mahakamani ni kuzuia coverage ya kesi kwenda kimataifa.

Ila badi itaenda tu na aibu wataipata kama walivyoamua kuiacha kesi ya Mbowe.
 
HAWA NDO WATANZANIA NINAOWAJUA MIMI!
WAKATI ANAKAMATWA KATIKATI YA MAELFU HAKUNA ALIYEIMBA FREEDOM WA NYOKO IS COMING 2MRW..

"KEYBOARD WARRIORS" KATIKA UBORA WAO.
 
Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao.
1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini.

2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda.

3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa ujumla.

*Tutakuwa tukiimba"Freedom is coming tomorrow"

NB:- Kamwe usichukue silaha yoyote ile, maana hatuendi vitani. Twende kwa amani na kurudi kwa amani.
Freedom is coming tomorrow.
kwani ni siku ya kutoa hukumu? au tunaenda kutia joto
 
Kama maaskofu watakwenda kwenye kesi ya Lissu,watakwambia; siyo wewe uwaambie wao.
 
Back
Top Bottom