IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Naomba ufafanuzi km rais amefariki,na imetokea nimedhamiria nataka kumuoa utaratibu ukoje.
Maana wengi wake wa viongozi wakuu wako single tu kwanini,nimejaribu Mara kazaa ila ulinzi mkali sana.
Mpaka kuonana nae procedure nyingi sana tena hawataki uongee nae kwa siri hii ni kwann ?
Maana wengi wake wa viongozi wakuu wako single tu kwanini,nimejaribu Mara kazaa ila ulinzi mkali sana.
Mpaka kuonana nae procedure nyingi sana tena hawataki uongee nae kwa siri hii ni kwann ?