Maombi ya sensa yalianza vizuri ila mwishoni wameharibu, hakuna utaritibu wa kupata majina huku baadhi ya Halmashauri tayari zimetoa majina ila nyingine bado
Kwanini NBS wasingetoa majina kwa ujumla mtandaoni Kila mwombaji akajiona kuliko sasa wanahangaika kupata majina na hakuna taarifa rasmi
Kwanini NBS wasingetoa majina kwa ujumla mtandaoni Kila mwombaji akajiona kuliko sasa wanahangaika kupata majina na hakuna taarifa rasmi