Swali Kwa Tamisemi,Je Kila Waziri anakuja na Utaratibu wake? Mbona Mumeacha Kutoa Taarifa za Makusanyo ya Halmashauri?

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,380
8,432
Heri ya mwaka mpya ndugu wanajukwaa..

Moja kwa Moja niende kwenye mada.

Hivi niulize kwamba kila Waziri anakuja na Utaratibu wake huko Tamisemi?

Wakati Waziri Bashungwa na Jafo wakiwa Tamisemi,kukokuwa na Utaratibu wa kutoa taarifa za makusanyo ya Halmashauri kila robo mwaka na kushindanisha ufanisi.

Taarifa hizi zilikuwa Zina umuhimu kwa ajili ya kupima ufanisi wa malengo ya makusanyo na kufanya tathmini ya Utendaji kazi wa Wakurugenzi na Halmashauri kwa ujumla..

Lakini toka ameingia Waziri Kairuki,Hakuna taarifa zozote za Makusanyo ya mapato ya Halmashauri.Haieleweki kwamba shida Ni Waziri au tatizo Nini?

Ni vyema Tamisemi wakabainisha Kama huo ulikuwa Ni utaratibu wa Waziri binafsi,mbona TRA wanatoa updates? Kwa Nini Tamisemi?
 
Heri ya mwaka mpya ndugu wanajukwaa..

Moja kwa Moja niende kwenye mada.

Hivi niulize kwamba kila Waziri anakuja na Utaratibu wake huko Tamisemi?

Wakati Waziri Bashungwa na Jafo wakiwa Tamisemi,kukokuwa na Utaratibu wa kutoa taarifa za makusanyo ya Halmashauri kila robo mwaka na kushindanisha ufanisi.

Taarifa hizi zilikuwa Zina umuhimu kwa ajili ya kupima ufanisi wa malengo ya makusanyo na kufanya tathmini ya Utendaji kazi wa Wakurugenzi na Halmashauri kwa ujumla..

Lakini toka ameingia Waziri Kairuki,Hakuna taarifa zozote za Makusanyo ya mapato ya Halmashauri.Haieleweki kwamba shida Ni Waziri au tatizo Nini?

Ni vyema Tamisemi wakabainisha Kama huo ulikuwa Ni utaratibu wa Waziri binafsi,mbona TRA wanatoa updates? Kwa Nini Tamisemi?
Itakuwa anaye wateua hao mawaziri ameridhia huo ukimya wa kutotoa taarifa ya mapato ya halmashauri zetu. Hata mimi nikiambiwa ' Na hilo uliangalie' bila fallow up. Nakaa kimya na kula matunda ya nchi hii.
 
Itakuwa anaye wateua hao mawaziri ameridhia huo ukimya wa kutotoa taarifa ya mapato ya halmashauri zetu. Hata mimi nikiambiwa ' Na hilo uliangalie' bila fall up. Nakaa kimya na kula matunda ya nchi hii.
Nini maana ya kuwajibika kwa Wananchi? Mara kadhaa Serikali imekuwa ikiwataka Viongozi hasa wa Vijiji kubandika matangazo kwenye mbao ya mapato na matumizi ya Fedha Sasa kama Wizarani hawaoni umuhimu nani atafanya huku chini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom