fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,413
- 7,967
Jamani nini maoni yenu,
Tunaposafiri, chupi tuwape watu wa hoteli wafue au tufue wenyewe, maana tunapofua wenyewe ukaukaji wake si mzuri maana tunaanikia ndani na mara nyingi zinasababisha fungus sehemu za siri.
Na shida nyingine ni kuqa wengine wanadai kuwa kuwapa watu wa hoteli kufua chupi sio ustaarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaposafiri, chupi tuwape watu wa hoteli wafue au tufue wenyewe, maana tunapofua wenyewe ukaukaji wake si mzuri maana tunaanikia ndani na mara nyingi zinasababisha fungus sehemu za siri.
Na shida nyingine ni kuqa wengine wanadai kuwa kuwapa watu wa hoteli kufua chupi sio ustaarabu
Sent using Jamii Forums mobile app