Utapeli wa wanawake..

Kila mwanamnke na level yake. Amezoea kutumiwa buku tano ya kula. Wewe umetuma buku 20 ni nyingi sana kwake. Sasa hivi atakuwa busy kumtapeli mwingine akitumia line nyingine ya simu. Hesabu umetoa sadaka.
 
Kila mwanamnke na level yake. Amezoea kutumiwa buku tano ya kula. Wewe umetuma buku 20 ni nyingi sana kwake. Sasa hivi atakuwa busy kumtapeli mwingine akitumia line nyingine ya simu. Hesabu umetoa sadaka.
Ewaaa hapo umenena vyema.
 
ILA UNA ROHO LAINI SANA......20 fasta.....anyway tuko tofauti sana....na malengo tofauti pia....pole mzee baba
 
Aiseeee pole sana mkuu tumia namba ngeni mtegee kamtego ule chako 20K parefu usawa huu kuna Papuchi nne ukienda pale kimboka au kama dom pale uhindini za 5K 5K mkuu

CC Zero IQ
 
Aiseeee pole sana mkuu tumia namba ngeni mtegee kamtego ule chako 20K parefu usawa huu kuna Papuchi nne ukienda pale kimboka au kama dom pale uhindini za 5K 5K mkuu

CC Zero IQ
Nmekusoma mkuu..naufanyia kazi ushauri wako
 
Hao ndo watoto wa uswahilini,ila nawe mjomba umejitakia mwenyewe hela yote kweli kwa mwajuma nchokonoe mbona kwake kama milioni vile,Usilie ndio ukubwa huo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…