Utapeli wa kuzushiwa Watoto wetu kuumwa ghafla shuleni utasababisha ugonjwa ya moyo! TCRA chukueni hatua

DJkus

JF-Expert Member
Nov 9, 2018
354
467
Asubuhi hii baada ya kumpeleka mtoto shule nikapokea ujumbe huu wa simu:

"Habari ya saa hii mzazi uongozi wa shule tunapenda kukujulisha kwamba mwanao amepatwa na tatizo la ghafla huku shuleni. Kwa sasa tupo naye hospital mimi ni mwalimu"

Simu iliyotuma ujumbe huo ni 0712578670

Kila nilipojaribu kuipigia simu hii ilikuwa either busy au ilikuwa haipokelewi. Wapo hospitali gani ilikuwa mtihani mwingine.

Akili ikanituma kuwahi shule. Shuleni nilipofika, walimu walishangaa kwa kutokuwa na taarifa zozote kuhusiana na ujumbe huu na pia hapakuwa na tukio lolote lenye kuhusisha hospitali.

Jambo la kushukuru Mungu nimemwona mtoto yuko darasani bukheri wa afya.

Hali hii inatupeleka wapi?

Ninaandika haya huku mwili ungali wanitetemeka. Japo nashukuru Mungu halikuwa jambo la kweli lakini sidhani kuwa ilikuwa fair kuni subject kwenye degree hiyo ya stress.

Mamlaka husika zitulinde dhidi ya matepeli hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna jamaa yako wa karibu kapoteza ama kaibiwa simu, hivyo wamechukua majina ktk cm yake na kuyafanyia kazi.....hawatokosa wawili ama watatu hapo...
 
Asubuhi hii baada ya kumpeleka mtoto shule nikapokea ujumbe huu wa simu:

"Habari ya saa hii mzazi uongozi wa shule tunapenda kukujulisha kwamba mwanao amepatwa na tatizo la ghafla huku shuleni. Kwa sasa tupo naye hospital mimi ni mwalimu"

Simu iliyotuma ujumbe huo ni 0712578670

Kila nilipojaribu kuipigia simu hii ilikuwa either busy au ilikuwa haipokelewi. Wapo hospitali gani ilikuwa mtihani mwingine.

Akili ikanituma kuwahi shule. Shuleni nilipofika, walimu walishangaa kwa kutokuwa na taarifa zozote kuhusiana na ujumbe huu na pia hapakuwa na tukio lolote lenye kuhusisha hospitali.

Jambo la kushukuru Mungu nimemwona mtoto yuko darasani bukheri wa afya.

Hali hii inatupeleka wapi?

Ninaandika haya huku mwili ungali wanitetemeka. Japo nashukuru Mungu halikuwa jambo la kweli lakini sidhani kuwa ilikuwa fair kuni subject kwenye degree hiyo ya stress.

Mamlaka husika zitulinde dhidi ya matepeli hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe mzazi inakuaje unamuandikisha mtoto wako shule huna namba za walimu hata mwalimu mkuu haya mambo kuna wakati mnajitakia kabla hujawalaumu TCRA wewe binafsi uwajibike, ungekua na namba za walimu wa darasa analosoma mwanao, namba ya mkuu wa shule haya yasingefika huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asubuhi hii baada ya kumpeleka mtoto shule nikapokea ujumbe huu wa simu:

"Habari ya saa hii mzazi uongozi wa shule tunapenda kukujulisha kwamba mwanao amepatwa na tatizo la ghafla huku shuleni. Kwa sasa tupo naye hospital mimi ni mwalimu"

Simu iliyotuma ujumbe huo ni 0712578670

Kila nilipojaribu kuipigia simu hii ilikuwa either busy au ilikuwa haipokelewi. Wapo hospitali gani ilikuwa mtihani mwingine.

Akili ikanituma kuwahi shule. Shuleni nilipofika, walimu walishangaa kwa kutokuwa na taarifa zozote kuhusiana na ujumbe huu na pia hapakuwa na tukio lolote lenye kuhusisha hospitali.

Jambo la kushukuru Mungu nimemwona mtoto yuko darasani bukheri wa afya.

Hali hii inatupeleka wapi?

Ninaandika haya huku mwili ungali wanitetemeka. Japo nashukuru Mungu halikuwa jambo la kweli lakini sidhani kuwa ilikuwa fair kuni subject kwenye degree hiyo ya stress.

Mamlaka husika zitulinde dhidi ya matepeli hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenzio tuna namba za walimu wa watoto wetu.Ukipata sms unampandia hewani.
 
Utapeli wa aina hiyo umeshika kasi sana
Tunaambiwa haya kila siku ili tuongeze umakini, tena hata polisi wanatuma ujumbe siku hizi tuweni na umakini juu ya utapeli, kwa haya mambo ukweli watu wanajitakia wanashindwa kuwa makini mtu kama huyu hana hata mawasiliano ya walimu amepaniki anakimbia kimbia anakuja hapa kuvilaumu vyombo na mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shemeji yangu alipigwa laki3 kwa style hii hii, lakini bado alishuru mungu baada ya kuambia na walimu mwanae ni mzima na aliyekupigia sim kakutapeli!
 
Sio kweli hao jamaa huwa wanatuma meseji randomly yaani hovyo hovyo kwa namba nyingi iwezekanavyo. Kuna wengine wanawabahatisha wengine wanawakosa.
Matapeli wengine wanatumia programme na apps za kutuma multiple messages. Yaani anaweza kufowadi meseji hata elfu kwa wakati mmoja.
Hapo kuna jamaa yako wa karibu kapoteza ama kaibiwa simu, hivyo wamechukua majina ktk cm yake na kuyafanyia kazi.....hawatokosa wawili ama watatu hapo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaambiwa haya kila siku ili tuongeze umakini, tena hata polisi wanatuma ujumbe siku hizi tuweni na umakini juu ya utapeli, kwa haya mambo ukweli watu wanajitakia wanashindwa kuwa makini mtu kama huyu hana hata mawasiliano ya walimu amepaniki anakimbia kimbia anakuja hapa kuvilaumu vyombo na mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unaweza kuwa na namba za simu za mwalimu au walimu wasiwe katika nafasi ya kuiitika simu ya mzazi mara moja.

Suala hili kwa mwingine laweza kuwa ni kanda la sufi. Ila nachokiona kwenye huu uzi - 'this was really emergency!' kwa mleta uzi.

Mambo haya ni ya kuyasikia kwenye bomba usiombee yakakufika. Mnyazi Mungu utupishilie mbali na kadhia za namna hii zijitokezazo kwa namna tofauti na pasi warning - sisi tulio waja wako.
 
Hiyo style mpaka imekufikia wewe tayari wameshalizwa maelfu ya watu.

Hapo ungetulia kidogo ungepokea sms ingine ya kukuambia dr kasema mtoto kapungukiwa sana damu inahitajika 48,500/= ya haraka kwa ajili ya kulipia damu ili wamuongezee mgonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaweza kuwa na namba za simu za mwalimu au walimu wasiwe katika nafasi ya kuiitika simu ya mzazi mara moja.

Suala hili kwa mwingine laweza kuwa ni kanda la sufi. Ila nachokiona kwenye huu uzi - this was really emergency kwa mleta uzi!

Mambo haya ni ya kusikia kwenye bomba mnyazi Mungu utupishilie mbali sisi waja wako.
Ninacho kikazia hapa ni umakini huwezi ukawa na namba za walimu wote wasipokee wastani ya walimu watatu ni nadra sana, utapeli utapeli ni kuwa makini, utapeli wa kwenye simu ni ngumu mtu kuibiwa kama tu utakua makini zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninacho kikazia hapa ni umakini huwezi ukawa na namba za walimu wote wasipokee wastani ya walimu watatu ni nadra sana, utapeli utapeli ni kuwa makini, utapeli wa kwenye simu ni ngumu mtu kuibiwa kama tu utakua makini zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nilichokuwa na tahadharisha ni ukweli kuwa it is rare but likely.
 
Swala hapa ni kuacha uoga na panick za kizembe,maana mwisho wa yote hupoteza uwezo wa kutafakari na kuamua mambo,unaibiwa.

Au unaanguka unakufa kabisa.kwani mtoto kuumwa ni ajabu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom